logo

TAMISEMI

Students

GoTHOMIS YAWEZESHA HUDUMA ZA AFYA KIDIJITALI

KOICA Yapongezwa, GoTHOMIS Yaibadili Dodoma: Huduma za Afya Sasa Kidijitali

Students

WALIMU NA JAMII WAASWA KUIMARISHA USALAMA WA WATOTO SHULENI

Serikali yasisitiza utekelezaji Mpango wa Shule Salama uende sambamba na kuhakikisha usalama wa watoto katika mazingira ya shule kama kipaumbele cha chao

Students

MCHENGERWA AKUTANA NA VIONGOZI WAPYA DART, UDART

Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na viongozi wapya wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) na Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) na kuwataka kutatua changamoto ya usafiri Jijini Dar es Salaam

Students

ZANA ZA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA

Walimu wa Awali na Darasa la kwanza kutoka Halmashauri ya Wilaya Kigoma na Kigoma Manispaa wakiandaa zana za kufundishia na kujifunzia kwa vitendo

Students

TAMISEMI QUEENS Washindi Netiboli Taifa

Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI (ELIMU) Bw. Atupele Mwambene akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa Netibali Taifa - TAMISEMI QUEENS na Viongozi wao ofisini kwake

Students

uanzishwaji wa madarasa janja Tanzania

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa akieleza umuhimu wa Mfumo wa Ufundishaji Mubashara (live teaching via smart class) kwa wanafunzi wa sekondari za Dodoma na Kibaha baada ya kuzindua majaribio ya Mfumo huo.

Students

Mafanikio katika Sekta ya Elimu nchini

Bil 28.4 zaimamrisha Sekta ya Elimu Mkoani Manyara kupitia Mradi wa SEQUIP

Viongozi wa Taasisi

Viongozi wa juu wa Taasisi, Waziri wa Nchi na Katibu Mkuu

Leadership - Hon. Mohamed Omary Mchengerwa

Hon. Mohamed Omary Mchengerwa

Waziri wa Nchi - OR TAMISEMI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mtaa

Leadership - Ndg. Adolf H. Ndunguru

Ndg. Adolf H. Ndunguru

Katibu Mkuu - OR TAMISEMI

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Habari na Matukio Muhimu

Pata habari, matangazo na matukio ya hivi punde yanayotokea ndani na karibu na jamii yetu.

Takwimu zetu

Tunapima mafanikio yetu kwa uangalifu kupitia takwimu mbalimbali ambazo zinaonyesha uhalisia wa kazi zetu nchini Tanzania. Kutoka miradi iliyokamilika kwa mafanikio hadi mipango inayoendelea, takwimu hizi zinathibitisha juhudi zetu za kuleta mabadiliko chanya. Kila hatua tunayochukua, tunazingatia matokeo yanayogusa maisha ya watu katika jamii.

Mikoa

Idadi ya Mikoa Tanzania Bara

Wilaya

Idadi ya Wilaya

Halmashauri

Idadi ya Halmashauri

Majiji

Idadi ya Majiji

Manispaa

Idadi ya Halmashauri za Manispaa

Matangazo Muhimu

Soma matangazo na taarifa rasmi ili kuendelea kufahamu shughuli zinazotekelezwa na Wizara.

Video za Matukio

Tazama picha jongefu za matukio ya kazi zetu

Vipakuliwa Muhimu

Tazama picha jongefu za matukio ya kazi zetu

Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa katika Mifumo yetu ya TEHAMA

Mifumo ya TEHAMA ya TAMISEMI imekuwa nguzo kuu na imara katika uafanisi wetu wa kutoa huduma kwa wanainchi, ili kuleta maendeleo ya haraka.

Cookie

We use cookies to enhance your browsing experience, provide personalized content, and analyze our traffic. By clicking "Accept All Cookies", you agree to the storing of cookies on your device to improve site navigation, analyze site usage, and assist in our marketing efforts. To learn more about how we use cookies and to manage your preferences, please visit our Cookie Policy.
National Election Commission Logo

Uchaguzi 2025

Kura yako haki yako jitokeze kupiga kura