
Serikali ya Canada kupitia Shirika lake la Nutrition International imetoa dozi milioni 23 za vitamini A yenye thamani ya shilingi bilioni 1.3 kwa Serikali ya Tanzania ili kuokoa maisha kwa kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya maradhi kwa watoto. Kauli hiyo imetolewa leo na Mjumbe wa Bodi wa Shirika la Nutrition International, ambaye pia ni Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Mhe.Jakaya Kikwete kwenye Kituo Cha Afya Cha Makuburi akiwa na ujumbe wa Canada ulioongozwa na Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa Mhe. Randeep Sarai. Mara baada ya kuwasili Mhe. Sarai alipata fursa ya kukagua eneo la usajiri wa watoto na lishe akiongozwa na Naibu Waziri wa TAMISEMI anayeshughulikia eneo la Afya, Mhe.Festo Dugange na Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia eneo la Afya Prof. Tumaini Nagu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akionesha Tuzo ya Utekelezaji wa Dira 2050 wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC), Jijini Dodoma tarehe 17 Julai, 2025.
Bil 28.4 zaimamrisha Sekta ya Elimu Mkoani Manyara kupitia Mradi wa SEQUIP
Mhe. Dkt. Philip Mpango, Makamu wa Rais wa Tanzania na Viongozi wengine wakipatiwa maelezo kuhusu mafanikio ya Sekta ya Afya ya Msingi na Dkt. Rashid Mfaume, Mkurugenzi wa Idara ya Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii kutoka OR-TAMISEMI
Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa tuzo maalum ya kutambua mchango wake kwenye Sekta ya Afya na Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri
leaders.Minister of State, President's Office Regional Administration and Local Government
leaders.Permanent Secretary President's Office Regional Administration and Local Government
TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA YA MKATABA PROGRAMU YA TIMCHIP
Published a day ago
ORODHA YA WAAJIRIWA WA KADA YA AFYA KUPITIA PROGRAMU YA TIMCHIP
Published a day ago
TANGAZO LA KUITWA KAZINI WAOMBAJI WA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA WA MAAFISA LISHE
Published 8 days ago
CHAGUO LA PILI KIDATO CHA TANO
Published 12 days ago
Mpango wa uboreshaji wa elimu ya awali na msingi (BOOST) umeweza kutatua changamoto mbalimbali zilizokuwepo kwenye elimu msingi ikiwemo miundombinu mibovu, msongamano wa wanafunzi pamoja na ukosefu wa madarasa ya awali na matundu ya vyoo.
Mafanikio ya Miaka Miwili ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt.Samia Suluhu Hassan
National PHC Rolling Digital Roadmap (Tanzania)
Published on 5 days ago
Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1
Published on 7 days ago
DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension)
Published on 7 days ago
TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling
Published on 7 days ago