logo

TAMISEMI

Students

AN
Angela Msimbilaangela.msimbila@tamisemi.go.tz

Samia bond yaorodheshwa dse

Samia Infastructure Bond hati fungani Mahususi inayotolewa na Benki ya CRDB, kwa ajili ya kufadhili miradi muhimu ya miundombinu nchini Tanzania, hasa ujenzi wa barabara chini ya Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), leo imeorodheshwa kwenye soko la hisa la Dar es Salaam, hatua hiyo imejiri baada ya kukusanywa kiasi cha bilioni 323 kutoka Taasisi mbalimbali na wawekezaji binafsi.

Zoezi hilo limeongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa kwa kupiga kengele ikiwa ni ishara ya kuorodhesha Samia Infastructure Bond kwenye soko la hisa la Dar es Salaam. 

Samia Infastructure Bond inatazamiwa kutatua changamoto ya upatikanaji wa fedha kwa ajili ya malipo ya wakandarasi wanaotekeleza miradi ya barabara hivyo kuharakisha maendeleo ya miundombinu muhimu kwa usafirishaji wa abiria, mizigo na huduma na bidhaa

Comments

Please sign in to leave a comment.

Matangazo Muhimu

Soma matangazo na taarifa rasmi ili kuendelea kufahamu shughuli zinazotekelezwa na Wizara.

Habari na Matukio

Soma matangazo na taarifa rasmi ili kuendelea kufahamu shughuli zinazotekelezwa na Wizara.

Cookie

We use cookies to enhance your browsing experience, provide personalized content, and analyze our traffic. By clicking "Accept All Cookies", you agree to the storing of cookies on your device to improve site navigation, analyze site usage, and assist in our marketing efforts. To learn more about how we use cookies and to manage your preferences, please visit our Cookie Policy.
National Election Commission Logo

Uchaguzi 2025

Kura yako haki yako jitokeze kupiga kura