
Loading ...

Waziri wa Nchi, OWM-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe akikagua majengo ya hospital iya Mkoa wa Morogoro

Waziri wa Nchi, OWM-TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, akifanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Sakphouseth Meng Jijini Dodoma

Waziri wa Nchi, OWM-TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewataka Viongozi wa elimu chini ya OWM-TAMISEMI kusimamia miundombinu ya Shule ipasavyo.

Naibu Waziri, OWM-TAMISEMI (ELIMU), Mhe. Reuben Kwagilwa awaasa wazazi kuhakikisha wanawapeleka shuleni watoto wao kupatia haki ya msingi ya elimu bora katika mazingira salama na rafiki kwa ujifunzaji.

Naibu Waziri OWM-TAMISEMI), Mhe. Dkt. Jafar Seif aagiza kukamatwa kwa Mkandarasi Hamerkop International Limited anayejenga jengo la wagonjwa wa Nje (OPD) katika Hospitali ya Mji Njombe (Kibena) kama atashindwa kukamilisha ujenzi wa jengo hilo kabla ya Februari 8, 2026

Waziri wa Nchi, OWM-TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe akikagua karakana ya UDART Ubungo Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, OWM–TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe akikabidhi hundi ya Shilingi Bilioni 2.7 kwa vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu kama sehemu ya utekelezaji wa ahadi ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Kuhusu Taasisi yetu.
Viungo vya Haraka
Tovuti Muhimu
Mifumo ya TEHAMA



UWEPO WA SHULE MAENEO YA KARIBU NA JAMII ULIVYOKOMESHA UTORO NA MIMBA - MBEYA JIJI & RUNGWE DC

Mpango wa uboreshaji wa elimu ya awali na msingi (BOOST) umeweza kutatua changamoto mbalimbali zilizokuwepo kwenye elimu msingi ikiwemo miundombinu mibovu, msongamano wa wanafunzi pamoja na ukosefu wa madarasa ya awali na matundu ya vyoo.
Ajira za Kujitolea walimu wa sekondari masomo ya Sayansi na Hisabati
Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapenda kuwataarifu waombaji wote wa kazi za mkataba katika programu ya Mpango wa Uwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto nchini Tanzania (Tanzania Maternal and Child Health Investment Program (TMCHIP) waliowasilisha maombi ya ajira kwa nafasi mbalimbali za kada za afya katika kipindi cha mwezi wa Desemba, 2024 kuwa mchakato wa kuwapangia vituo vya kazi umekamilika hivyo waombaji wote waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti katika Halmashauri walizopangiwa.
Mpango Mkakati wa Usimamizi wa Takwimu wa Ofisi ya Rais TAMISEMI - 2024/25 -2028/29
Ajira za Kujitolea walimu wa sekondari masomo ya Sayansi na Hisabati
RAMANI ZA MRADI WA BOOST
ADDITIONAL BASIC EDUCATION STATISTICS 2025
Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji Midogo za Mwaka 2024
BASIC EDUCATION STATISTICS 2025

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Idadi ya Mikoa Tanzania Bara
Idadi ya Wilaya
Idadi ya Halmashauri
Idadi ya Majiji
Idadi ya Halmashauri za Manispaa
Idadi ya Halmashauri za Miji
Idadi ya Halmashauri za Wilaya
Mamlaka za Miji Midogo