logo

PORALG

Students

Uchaguzi wa wanafunzi kidato cha tano na vyuo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema ufaulu kwa mwaka 2024 umeongezeka kwa asilimia 5.36% na wanafunzi 214,141 wasichana 97,517 na wavulana 116,624 wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Elimu ya Ufundi ikijumuisha wanafunzi 1,028 wenye mahitaji maalum

Students

Tuzo ya heshima kwa kutoa mchango mkubwa kwenye Sekta ya Elimu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mhe. Mohamed akipokea Tuzo ya heshima ya kutambua mchango wake katika Sekta ya Elimu wilayani Rufiji wakati wa Mkutano wa Walimu na Wadau wa Elimu wa Wilaya ya Rufiji katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya Wasichana Bibi Titi Mohamed.

Students

ZIARA YA WAHESHIMIWA WABUNGE

Mhe. Zainab Katimba (Mb), Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wabunge wa Bunge la Taifa la Zambia na baadhi ya Viongozi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI

Students

Tuzo Maalum ya Heshima iliyotolewa na Bunge kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akionesha Tuzo Maalum ya Heshima iliyotolewa na Bunge kwa kutambua na kuthamini kazi aliyoifanya ya kuleta maendeleo nchini tarehe 31 Mei, 2025

Viongozi wa Taasisi
View All
Leadership - Mohamed Omary Mchengerwa

Mohamed Omary Mchengerwa

Waziri wa Nchi - OR TAMISEMI

leaders.Minister of State, President's Office Regional Administration and Local Government

Leadership - Ndg. Adolf H. Ndunguru

Ndg. Adolf H. Ndunguru

Katibu Mkuu - OR TAMISEMI

leaders.Permanent Secretary President's Office Regional Administration and Local Government

Habari na Matukio Muhimu

Pata habari, matangazo na matukio ya hivi punde yanayotokea ndani na karibu na jamii yetu.

Tazama zaidi
Takwimu zetuTazama zaidi
Tunapima mafanikio yetu kwa uangalifu kupitia takwimu mbalimbali ambazo zinaonyesha uhalisia wa kazi zetu nchini Tanzania. Kutoka miradi iliyokamilika kwa mafanikio hadi mipango inayoendelea, takwimu hizi zinathibitisha juhudi zetu za kuleta mabadiliko chanya. Kila hatua tunayochukua, tunazingatia matokeo yanayogusa maisha ya watu katika jamii.
Mikoa

Idadi ya Mikoa Tanzania Bara

Wilaya

Idadi ya Wilaya

Halmashauri

Idadi ya Halmashauri

Majiji

Idadi ya Majiji

Manispaa

Idadi ya Halmashauri za Manispaa

Matangazo Muhimu

Soma matangazo na taarifa rasmi ili kuendelea kufahamu shughuli zinazotekelezwa na Wizara.

Video za Matukio

Tazama picha jongefu za matukio ya kazi zetu

Vipakuliwa Muhimu

Tazama picha jongefu za matukio ya kazi zetu

Cookie

We use cookies to enhance your browsing experience, provide personalized content, and analyze our traffic. By clicking "Accept All Cookies", you agree to the storing of cookies on your device to improve site navigation, analyze site usage, and assist in our marketing efforts. To learn more about how we use cookies and to manage your preferences, please visit our Cookie Policy.