• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali

Zaidi ya shilingi milioni 800 kutumika ujenzi wa kituo cha afya Kisiwa cha Ukara

Imewekwa tar.: November 18th, 2018

Imeelezwa kuwa zaidi ya shilingi milioni 800 zinategemewa kutumika kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya Bwisa kilichopo  katika Kisiwa  cha Ukara  ikiwa ni ahadi  aliyoitoa Mheshimiwa Dkt John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati ilipotokea ajali mbaya ya kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo mapema leo,wakati akizundua  rasmi ujenzi na upanuzi wa Kituo cha Afya Bwisa kilichopo Kisiwani Ukara.

Ahadi hiyo ya Rais Magufuli ilielekeza pamoja na mambo mengine kutumia sehemu ya fedha za rambirambi takribani milioni 856 kuboresha, kuimarisha na kupanua miundombinu ya kituo cha afya bwisya kifikie hadhi sawa na hospitali ya wilaya kwa lengo la kusogeza huduma bora ya afya kwa wananchi wa kisiwa hicho wapatao 44,000 ambao wapo mbali na hospitali ya wilaya.

Mhe. Jafo alikagua na kuzindua rasmi shughuli za ujenzi wa hospitali hiyo inayojengwa na kusimamiwa na jeshi la wananchi Tanzania chini kikosi cha SUMA JKT.

Akihutubia wananchi wa kisiwa cha Ukara, Mhe Jafo alisisitiza kuwa wajenzi wazingatie ujenzi wa majengo yenye viwango na kuhakikisha wanakamilisha kwa wakati shughuli hiyo.

"Ni matumaini yangu kuwa ifikapo Mwezi Februari, 2019 kazi hii itakuwa imekamilika kwa kiwango kinachokubalika. Kwa uzoefu wenu katika miradi na operesheni kama hizi Sina shaka SUMA JKT mtafanya kazi hii kwa uaminifu mkubwa na uzalendo ili kutimiza ahadi na ndoto ya Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli kwa wana ukara na watanzania wote kwa jumla" alisisitiza Jafo

Mhe. Jafo amesema kimeundwa kikosi kazi maalum chenye wataalam kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo jeshi la wananchi wa Tanzania, wataalam wa sekretariati ya Mkoa, Halmashauri za Mkoa wa Mwanza na taasisi zingine za Serikali kitakachosimamia ujenzi huo kwa umakini mkubwa kikiongozwa na Luteni Hamis Masoud.

Wakati huohuo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe mongella alifafanua kuwa imeelekezwa mafundi na vibarua wote watoke miongoni mwa wananchi na wakazi wa kisiwa cha ukara na maeneo jirani ili kuzalisha ajira na ujira kwa wazawa.

Amesema tayari manunuzi ya vifaa vya ujenzi umefanyika ambapo mkoa ulisimamia jambo hilo kwa kuagiza bidhaa moja kwa moja toka viwandani ili kupunguza gharama za ujenzi wa hospitali hiyo, alisema mongella.

Aidha kisiwa cha Ukara ni miongoni mwa visiwa 38 vinavyounda wilaya hiyo ambapo kati ya hivyo, visiwa 25 ni makazi ya kudumu ya watu na visiwa 13 ni makazi yasiyo ya kudumu.



Matangazo

  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Taarifa ya Kitengo Manunuzi na Ugavi, April 2022 April 04, 2022
  • Safeguard Documents for TACTIC Project March 30, 2022
  • Miongozo ya Operesheni Anwani za Makazi March 24, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • SOMO LA TEHEMA LIMERAHISISHA UTOAJI WA ELIMU MASHULENI KUPITIA MEWAKA

    May 19, 2022
  • Bashungwa apongeza ongezeko la Mishahara kwa watumishi nchini

    May 18, 2022
  • WALIMU WAMEIOMBA SERIKALI KUENDELEA NA MAFUNZO YA MEWAKA

    May 17, 2022
  • BASHUNGWA ATOA SIKU 30 TARURA KUFANYA USANIFU WA BARABARA YA SUCA - GOLANI ILI IWEKEWE LAMI.

    May 14, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.