Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

Imewekwa tar.: May 28th, 2025

Na OR-TAMISEMI, Dodoma

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI (ELIMU) Mhe. Zainab Katimba amewapokea wageni kutoka Bunge la Taifa la Zambia ambao wamekuja kutembelea na kujifunza jinsi Mfumo wa Serikali za Mitaa unavyotekelezwa Tanzania Bara.

Akiongea na wageni hao ambao ni Waheshimiwa Wabunge la Taifa la Zambia katika ukumbi wa Sokoine TAMISEMI Jijini Dodoma leo tarehe 28 Mei, 2025 kwa niaba ya Mhe. Mohamed Mchengerwa, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Katimba alisema Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ndiyo ina mamlaka mapana na muhimu yakiwepo Uratibu na Usimamizi wa shughuli za Serikali ngazi ya Mikoa na Serikali za Mitaa, kujengea uwezo wa Serikali za Mitaa, uendelezaji na utekelezaji wa Sera, upangaji na ufuatilaji wa fedha za Serikali za Mitaa.

Masula mengine ameyataja kuwa ni usimamizi na utoaji wa huduma hasa elimu, afya, na miundombinu, kukuza ugatuaji wa madaraka na utawala bora pamoja na kuwezesha mahusiano baina ya Serikali Kuu na Serikali za Mitaa na utatuzi wa migogoro katika ngazi ya Halmashauri na ngazi ya msingi pamoja na utoaji wa huduma kwa wananchi.  

“majukumu haya ni muhimu katika kuhakikisha maendeleo jumuishi, uboreshaji wa utoaji wa huduma kwa wananchi, na utawala shirikishi – maadili tunayoamini yanashirikishwa katika nchi zetu zote mbili” alisisitiza Mheshimiwa Katimba.

Akiongea kwa niaba ya Waheshimiwa Wabunge wenzake, Mheshimiwa Twaambo Mutinta (Mb), Mkuu wa Msafara na Mwenyekiti wa Kamati ya Serikali za Mitaa, Makazi na Masuala ya Machifu (Chiefs’ Affairs) alishukuru kwa mapokezi mazuri yaliyofanywa na ofisi ya Rais - TAMISEMI na kusema nchini Zambia Mfumo wa Ugatuaji wa Madaraka ulianza mwaka 2016 na hivyo watakuwa na wakati mzuri wa kujifunza hapa Tanzania na kubadilishana ujuzi kwani umuhimu mkubwa unaonekana katika kupeleka rasilimali na maamuzi karibu na wananchi haya yote ni moja ya vitu ambavyo tunatarajia tutashirikishwa katika ziara hii.  

Naye Angelista Kihaga Mkurugenzi wa Serikali za Mitaa Ofisi ya Rais TAMISEMI akiwasilisha mada kwa ugeni huo, amesema Idara ya Serikali za Mitaa ni moja ya idara za Ofisi ya Rais -TAMISEMI ambayo inalo jukumu kubwa la kuratibu na kusimamia kazi za Mamlaka za Serikali za MitaaTanzania Bara. Idara hiyo ina sehemu tatu ambazo ni sehemu ya Usimamizi wa Rasilimali Fedha katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, Sehemu ya Usimamizi wa Rasilimali Watu katika Mamlaka za Serikali za Mitaa na Sehemu ya Usimamizi wa Utoaji Huduma na Utawala Bora katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Kihaga alisema Wizara inaongozwa na Mheshimiwa Waziri akisaidiwa na Naibu mawaziri wawili, Katibu Mkuu na Naibu Makatibu Wakuu wanne wanaoshughulika na Elimu, Afya na Ustawi wa Jamii, Miundombinu na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, pia ofisi inazo jumla ya idara 11 na Vitengo 6 na Taasisi 7.  Aidha, Tanzania Bara inazo jumla ya Mamlaka za Serikali za Mitaa 184 zenye Majiji 6, Manispaa 21, Mamlaka za Miji 20 na Halmashauri 137.

Kihaga aliongeza kuwa Halmashauri zinafanya kazi chini ya Mfumo wa Ugatuzi wa Madaraka (Decentralization by Devolution) lakini zinakuwa na uhusiano wa karibu na Serikali Kuu kupitia mwelekeo wa kisera, usaidizi wa kifedha na uangalizi wa kiutawala unaotolewa na Ofisi ya Rais TAMISEMI lakini pia Sekta na wizara nyingine. Serikali kuu inaziongoza Halmashauri katika kupanga mipango na bajeti, utoaji wa huduma na ufuatiliaji wa utendaji wao kupitia Sekretarieti za Mikoa  

Halmashauri zinajumuisha timu za Usimamizi wa Halmashauri (CMTs) zikiongozwa na mkurugenzi anayeunda sehemu ya Wataalaam na sehemu nyingine inayoundwa na Waheshimiwa Madiwani ambapo kwa pamoja huunda Baraza. Aidha, kuna Madiwani wa kuchaguliwa kutoka kwenye Kata na kutoka Viti Maalum na Halmashauri kamili ndiyo wanaotoa maamuzi ya mwisho katika baraza hilo.

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MHE MCHENGERWA AWATAKA MA RC, DC KUONGOZA JOGGING KWENYE MAENEO YAO

    June 14, 2025
  • MANYARA NA MWANZA MABINGWA RIADHA MITA 800 

    June 14, 2025
  • HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU  KATIKA KUANDAA MIRADI YA MAENDELEO- ADOLF NDUNGURU 

    June 13, 2025
  • WAVU KWAENDELEA KUNOGA UMITASHUMTA

    June 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.