Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

Imewekwa tar.: May 26th, 2025

Na. OR – TAMISEMI

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia masuala ya afya Prof. Tumaini Nagu amefanyiwa mapokezi makubwa na viongozi, menejimenti na watumishi wa ofisi hiyo ambapo ameahidi ushirikiano ili kufikia malengo ya Serikali.

Prof. Nagu ameyasema hayo wakati akiongea na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Bw. Adolf Ndunguru, baadhi ya viongozi, menejimenti na watumishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI baada ya mapokezi yake katika ofisi za Wizara zilizopo katika Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma na kuomba ushirikiano na kuahidi kufanya kazi kwa pamoja ili kufikia dhamira na maono ya Mheshimiwa  Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Aidha, amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kumwamini na kumteua ili aisimamie Sekta ya Afya hususani Afya ya msingi chini ya Ofisi ya Rais TAMISEMI na amepokea kwa unyenyekevu mkubwa uteuzi wake na kuahidi kushirikiana kwa vitendo lakini anaamini uzoefu huongezeka kila siku na yupo tayari kufanya kazi na viongozi na watumishi wa ofisi hiyo.

Prof. Nagu afafanua kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alitoa maelekezo yake kwa kusisitiza kuboresha huduma za afya ya msingi, huduma ambazo zinatakiwa kuwafikia wananchi kwa wakati na dhamira yake ni kuyafanya mazingira ya afya kuwa bora, hivyo kama sehemu ya ofisi ambayo anakutana na wazoefu watamsaidia na kushirikiana naye ili kuyafanya hayo kwa vitendokwani kidole kimoja hakivunji chawa.

“lakini naomba itoshe sana kusema nakushukuru Katibu Mkuu (Bw. Adolf Ndunguru) pamoja nanyi nyote ambao mmenipokea siku ya leo, na hii ni ‘surprise’ kubwa, ishara kubwa kwamba mpo tayari kushirikiana nami na hilo ndilo ninaloliomba, tushirikiane ili tuweze kuwatumikia watanzania na yale maono ya Mheshimiwa Rais, basi yakatekelezeke kwa kumuunga mkono Rais wetu” alilisisitiza Prof. Tumaini Nagu 

Katibu Mkuu Adolf Ndunguru Ofisi ya Rais TAMISEMI Bw. Adolf Ndunguru amemkabidhi Kiongozi huyo Mpango Mkakati wa Taasisi na Muundo wa Ofisi ya Rais TAMISEMI na kusesema kuwa anamjua Naibu Katibu Mkuu (AFYA) Prof. Tumaini Nagu kama mtu mzoefu katika Sekta ya Afya na anaamini kuwa atafanya kazi nzuri na kwamba Ofisi ya Rais TAMISEMI yenye Idara na Vitengo 17 imempokea na itakuwa tayari kupokea maagizo yake na kuyafanyia kazi ili kuweza kufikia malengo na maono ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.   

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu Ofisi ya Rais TAMISEMI Bi. Emma Lyimo akitoa neno kabla ya Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Bw. Adolf Ndunguru katika kikao kifupi cha menejimenti kumkaribisha Prof. Tumaini Nagu, amesema anayo furaha kubwa ya Kiongozi huyo mahiri kujiunga na familia ya Ofisi ya Rais TAMISEMI lakini pia kupata wasaa wa kukutana na kufahamiana na Viongozi, menejimenti na watumishi Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA RASMI MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025

    June 09, 2025
  • BIL. 2.4 ZATUMIKA MWENYE MICHEZO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025

    June 09, 2025
  • WAZIRI MKUU MAJALIWA KUFUNGUA RASMI UMITASHUMTA & UMISSETA 2025 LEO

    June 09, 2025
  • MIKOA YAENDELEA KUWASILI IRINGA KUSHIRIKI MASHINDANO YA UMITASHUMTA 2025

    June 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.