• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

ZAIDI YA 334 BILIONI ZATOLEWA NA SERIKALI KUBORESHA MIONDOMBINU

Imewekwa tar.: November 12th, 2018


Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeshatoa zaidi ya shilingi 334 bilioni kuboresha miundombinu katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kupitia Mradi wa Uboreshashi na Uimarishaji Mamlaka za Serikali za Mitaa ( ULGSP).


Hayo yamesenwa na Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Barbara Mijini na Vijijini (TARURA) Eng. Victor Seif wakati wa ufunguzi wa kikako cha kazi cha tathimini ya utekelezaji wa mradi wa ULGSP kilichofanyika katika ukumbi wa AICC, Jijini Arusha.


Eng. Seif alieleza kuwa Serikali kupitia Ofisi yaRais Tamisemi imeshatoa idadi hizo za fedha katika Halmashauri 18 zinazotekekeza mradi wa ULGSP zikiwemo; Moshi, Singida, Shinyanga, Geita, Musoma, Bariadi, Bukoba, Songea, Njombe Iringa, Sumbawanga, Mpanda, Tabora, Morogoro, Korogwe, Kibaha, Lindi na Babati, ili kuboresha miundombinu na huduma za kijamii kwa lengo la kupunguza kwa wananchi na kuboresha maisha yao.


“Mradi  huu umebadili kabisa sura na madhari ya miji hii inayotekeleza mradi huu kutokana na miundombinu bora iliyojengwa na kuboresha shunguli za kiuchumi na kijamii kwa wananchi,” alisema Seif.


Alieleza kuwa  sasa mradi umefanikiwa; kukamilisha ujenzi wa barabara zenye urefu wa 105.8 Km na nyingine 47.1 km zipo kwenye hatua mbalimbali za kukamilishwa,” alisema Seif.


Pia alieleza kuwa kuna mikataba mbalimbali iliyosainiwa ambapo  utekelezaji unaendelea ni  ujenzi wa Stendi Tisa (9) za mabasi za kisasa ambapo stendi tano zimeshakamilika na zinatumika na Nne (4) zipo katika hatua mbalimbali za kukamilika.


Halikadhalika alieleza kuwa maeneo mengine yanayotekelezwa kupitia fedha hizo ni ujenzi wa machinjio za kisasa Nne (4), masoko ya  kisasa mane (4) pamoja na sehemu ya maenesho ya malori (Lorry packing) moja.


Eng. Seif alizitaka Halmashauri zinazotekeleza miradi hiyo kuhakikisha kuwa inatunzwa na kudumu kwa manufaa ya jamii.


“ Ni vema sasa mhakikishe kuwa bajeti ya kutosha inatengwa kwa ajili ya matengenezo na ukarabati na kuzikabidhi barabara zilizokamilika kwa TARURA kwa ajili ya ukarabati kwa wakati (timely maintenance),” alieleza Seif.


Aidha alizitaka Halmashauri kushirikiana na wananchi katika kutunza miundombinu iliyojengwa hasa ya stendi, machinjio na mifereji ya mvua ili iweze kudumu kwa muda mrefu.


Pia Eng. Seif aliwashukuru wadau wa maendeleo hasa Benk ya Dunia kwa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutatua changamoto mbalimbali mijini hasa za miundombinu kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo.


Kwa upande wake Kiongozi wa kikundi kazi cha utekelezaji wa miradi ya maendeleo kutoka Benki ya Dunia bwana Erick Dickson alisema kuwa ni lazima sasa Halmashauri zinazotekeleza miradi hii kuhakikisha kuwa miradi inawanufaisha wananchi na na kugusa maisha yao halisi,  si kuangalia kilomita ngapi za barabara zimejengwa Pete yake.


“Lengo kubwa la mradi huu sijenga miundombinu pekee bali ni kubadili maisha ya jamii husika na kuleta manufaa katika maisha yao. Ni lazima sasa muanze kufuatilia na kuchukua taarifa kutoka kwa wananchi wanenufaikaje na miradi hii,”alisema Erick.


Mradi wa ULGSP unatejelezwa katika Halmashauri za Manispaa na Miji 18 kwa fedha za mkopo nafuu takribani USD 255 milioni kutoka Benki ya Dunia kwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.



Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.