Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aipongeza TARURA

Imewekwa tar.: December 2nd, 2021

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassimu Majaliwa amekagua na kuridhishwa na utekelezaji wa mradi mtandao wa barabara za lami wa kilomita 51.2 katika mji wa Serikali Mtumba 'Magufuli City' ambao unagharimu Sh bilioni 87.9.

Akizungumza mara baada ya kukagua mtandao wa barabara za lami katika mji huo ikiwa ni Uzinduzi wa Wiki ya Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru ameonesha kuridhishwa na kazi iliyofanyika na kuipongeza Ofisi ya Rais-TAMISEMI na TARURA kwa kazi nzuri.

Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa pia amezindua awamu ya pili ya ujenzi wa majengo ya Serikali katika Mji wa Serikali.

" Barabara ni nzuri  na zinaakisi Mji wa Serikali, pongezi kwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na  Wakala wa barabara Vijijini na Mijini. Nimesikia kazi ambazo zimefanyika na ambazo bado zinaendelea kufanyika, hivyo endeleeni kusimamia kazi hii Ili ikamilike kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa."

" Nimefurahi mmeweza kutenganisha njia ya magari na watumishi wengine, hatua hii itasaidia kuepusha ajali katika barabara hizi. "

Aidha, Mhe. Majaliwa amewaagiza TARURA kutumia ubunifu huu katika njia mbazo wanasimamia ujenzi wake katika maeneo mbalimbali ili kupunguza ajali.

Awali, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini(TARURA) Mhandisi , Victor Self alisema ujenzi wa Barabara za lami ni utekelezaji wa maagizo ya Serikali iliyotolewa Aprili 13 mwaka 2019  wakati wa uzinduzi wa mji wa Serikali kwa lengo likiwa ni kupunguza adha ya usafiri kwa watumishi hususani wananchi wanaofuata huduma katika Ofisi za Serikali.

Amesema mradi huo upo katika maeneo mawili ikiwa ni eneo la kaskazini Ofisi ya ubalozi wa Marekani na Serikali ya mapinzudi Zanzibar  na eneo la Kusini ambalo zipo Ofisi za Serikali na ofisi za mabalozi mbalimbali.

Amesema mradi huu unajumuisha ujenzi wa mtandao wa barabara za lami  kilomita 51.2 na kati ya hizo kilomita 11 imejenga kwa lami nzito na kilomita 11. 2 ni njia nne  na kilomita 28.2 zenye njia mbili.

Pia kutakuwa na njia za waenda kwa miguu, waendesha pikipiki na baiskeri kila upande, eneo kwa ajili huduma za majisafi na majitaka, umeme TEHAMA ambapo pia kutakuwa na mtandao wa mifereji yenye kilomita 94.5, karavati 100, madaraja 10 na taa za kuongeza magari.

" Pia katikati ya barabara tumetenga eneo la mita 9 Kwa ajili ya ujenzi wa mwendokasi na treni ya abiria hapo baadaye."

Amesema ili kukabiliana na Maji Katia eneo hilo, TARURA inajenga maeneo mawili yankukusanyia maji ambapo eneo Mona litakuwa na uwezo wa kuhifadhia maji mita za ujazo 9000 na eneo lengine la ujazo mita za ujazo 14,000.

Mhandisi Self amesema  mpaka sasa kazi imefikia asilimia 88 na unatarajia kukamilika Desemba 30 mwaka huu na tayari mkandarasi amelipwa Sh bilioni 61.7 sawa na asilimia 77 wakati Makandarasi mshauri amelipwa Sh bilioni 755 sawa na asilimia 80 ya malipo.



Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.