Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Waziri Jafo atoa maagizo mazito kwa viongozi Wapya .

Imewekwa tar.: July 16th, 2020


Na. Angela Msimbira OR-TAMISEMI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemai Jafo amewataka viongozi wanaopatiwa dhamana katika nchi kuhakikisha wanatimiza majukumu yao kwa kufanyakazi kwa bidi ili kuacha alama kwa jamii.

Akiongea na Viongozi wapya walioteuliwa kushika nyadhifa katika  Mamlaka za Serikali za Mitaa leo  kwenye Ofisi ya Rais- TAMISEMI iliyoko Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma   Mhe Jafo amesema kuwa viongozi wanatakiwa kufanyakazi  kwa  bidi, weledi  na uaminifu hasa katika suala zima la kutatua kero za wananchi kwenye maeneo yao.

Mhe. Jafo anafanua kuwa viongozi walioteliwa na kupatiwa dhamana wanapaswa kufanya, kusema  na  kutenda yale ambayo yatamuacha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania salama, hivyo kushindwa kutimiza majukumu yao ni kumuangusha Rais ambaye lengo lake ni kuwasaidia wananchi maskini.

“Ieleweke kuwa asilimia 21 ya Bajeti ya Serikali ipo OR-TAMISEMI,  asilimia 72.6 ya watumishi wote nchini wanatoka Ofisi ya Rais TAMISEMI na miradi yote inayogusa wananchi OR-TAMISEMI, hivyo tukishindwa kutimiza vyema majukumu yetu, kelele za wananchi zinakuwa kubwa kuliko jambo linguine lolote, hivyo katimizeni majukumu yenu kwa ufanisi mkubwa” amesisitiza Mhe. Jafo.

Amewaagiza viongozi hao kusimamia vyema fedha za Serikali zinazotolewa kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo ili iweze kukamilika kwa wakati na kuhakikisha inaanza kutoa huduma bora kwa wananchi.

Kuhusu Utendaji kazi Mhe. Jafo amewataka kuacha kufanyakazi kwa maigizo kwa kutaka sifa na umaarufu  bali wafanye kazi kwa kuwahudumia wananchi na kutatua kero zao  kwa wakati ili kupunguza malalamiko na kuleta maendeleo katika maeneo yao.


Ameendelea kuwataka viongozi hao kudumisha ushirikiano, kuacha malumbano  na kufanya kazi kwa umoja ili kuhakikisha wanawasaidia wananchi katika kutatua kero na changamoto walizonazo lengo likiwa ni  kuleta maendeleo kwa jamii na Taifa kwa ujumla

“Haipendezi kukuta, Mkuu wa Mkoa anagombana na Mkuu wa Wilaya, au Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya kazi haziendi kwasababu ya ugomvi wenu, kusema ukweli sitarajii viongozi nyinyi ambao Rais amewateua ili msaidie majukumu mkafanya hivyo, haya ni mambo ambayo hayaleti maendeleo katika jamii. “amesema Mhe. Jafo


Aidha amewataka kuhakikisha wanafanyakazi kwa kuzingatia mipaka ya kazi, kwa kuheshimiana na wasifanye kazi kwa kushindana kwa kuwa wote wanajenga nyumba moja ya kuwatumikia wananchi.


Wakati huohuo Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  Mhandisi Joseph Nyamhanga amewataka viongozi hao  kuhakikisha wanasimamia ukusanyaji wa mapato kwenye maeneo yao  ili kutimiza malengo yalipangwa na Serikali.


Amewataka kufanyakazi kwa bidi, weledi na uaminifu kwa kutimiza majukumu yao kikamilifu ili kuunga mkono juhudu za Serikali za kuwaletea mabadiliko wananchi hasa katika suala zima la utoaji huduma bora kwa jamii.


Naye Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salaam Mhe. Aboubakar Kunenge   amesema kuwa watashirikiana katika utendaji kazi ili kutimiza malengo ya Serikali ya kuwahudumia wanachi, hivyo watekeleza maagizo yatakayotolewa na Serikali na watatimiza majukumu  Kikamilifu.



Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.