Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Uboreshaji wa huduma za afya ya msingi ni chachu ya kuimarisha uchumi wa kati

Imewekwa tar.: August 3rd, 2020


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amesema kuwa uboreshaji wa Huduma ya Afya msingi ni nguzo muhimu katika kuimarisha uchumi wa kati kwa kuwa  afya za watanzania ndio chachu ya kuongeza juhudi katika kufanya kazi ili kuinua uchumi wa Taifa.

Ameyasema hayo leo wakati akiwasilisha mrejesho kwa watanzania mafanikio ya miaka mitano ya maboresho ya huduma za afya Msingi katika Mamlaka za Serikali za Mitaa iliyofanyika katika ukumbi wa LAPF Jijini Dodoma.

Mhe. Jafo amejikuta akibubujikwa na machozi namna wananchi walivyo kuwa wakipata adha na kupoteza maisha kutoka na ukosefu wa huduma za afya kwenye baadhi ya maeneo nchini jambo lililokuwa linadhohofisha afya za wananchi katika utafutaji wao kutokana na kutokuwa na afya imara.

Amesema kuwa wananchi wengi wamekuwa  wakipoteza maisha kutokana na kukosa huduma bora za afya, lakini kwa kipindi cha miaka mitano ya Serikali chini ya Rais John Pombe  Magufuli imetoa kipaumbele kwa sekta hiyo na kuondoa adha kwa wananchi  hivyo kuchagiza katika utafutaji wa kipato .

“Watu wenye uwezo hawafahamu  kuwa kuna baadhi ya wananchi  walikuwa wakiteseka  kupata huduma za afya,  na walikuwa  wanasafiri zaidi ya kilometa  140  kutafuta huduma, wamama wajawazito walikuwa wakipata matatizo  ya fistula, baada ya kupata uchungu kwa muda mrefu hali hii ilisababisha vifo vingi katika jamii” ameeleza Mhe. Jafo.

Akiongelea kuhusu mafanikio yalipyopatikana katika utoaji wa huduma za afya ya msingi hasa katika ngazi za Mamlaka za Serikali za Mitaa Mhe. Jafo amesema  tangu uhuru  kulikuwa na hospitali 77 katika Halmashauri 185 jambo ambalo lilikuwa likilalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu kuhusu  miundombinu ya Afya nchini.

Amewashukuru wataalam wa afya nchini  kwa kuhakikisha wanafanyakazi kwa weledi  na  “kuwa  injini ya kuhakikisha  wanatoa huduma bora kwa jamii na kupunguza changamoto zilizokuwepo awali na kupunguza malalamiko kwa wananchi.

Mhe. Jafo amefafanua kuwa baada ya kukarabati na kujenga vituo vya afya nchini  wakinamama wajawazito waliojifungua katika vituo hivyo vipya ni  219,764  na waliopata huduma ya upasuaji ni 18,826.na wagonjwa wengine zaidi ya 6000 walifanyiwa  upasuaji wa kawaida.

Aidha, katika siku ya afya ya TAMISEMI  Mhe Jafo aliweza kutembelea kituo cha afya  cha Makole, Jijini Dodoma  na kutoa zawadi  kwa wajawazito waliojifungua  katika kituo hicho kama ishara ya kuwapongeza kwa kuweza kupata huduma kwenye vituo vilivyokarabatiwa na kujengwa na Serikali.

Awali, Mwakilishiwa Katibu Mkuu Wizara  ya Afya,  Maendelo  ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk.Grace Maghembe, amesema kuwa kuna mikoa mitano ambayo haikuwa na  hospitali  za rufaa za Mikoa, lakini kwa sasa zimejengwa na zinatoa huduma katika ubora wa hali ya juu.

“Uboreshaji wa huduma za afya ikiwemo za kibingwa nchini umechangia kupunguza idadi ya wagonjwa wa kupelekwa nje ya nchi”, amesisitiza Maghembe.

Kwa upande wake  Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Afya katika Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dk.Dorothy Gwajima amesema kuwa uwepo wa miundombinu hiyo inatakiwa kwenda  sambamba   na utoaji wa huduma bora kwa wananchi ili kuwa vutia watanzania wengi zaidi kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii iliyoboreshwa(CHF).

Na Angela Msimbira OR-TAMISEMI

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.