Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

TATHIMINI YA USIMAMIZI WA HUDUMA ZA AFYA MSINGI KUFANYIKA KILA BAADA YA WIKI MBILI - Dkt. Magembe

Imewekwa tar.: November 12th, 2024

Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Afya) Dkt. Grace Magembe amewaelekeza watumishi wa Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI kuhakikisha wanafanya vikao kazi kila baada ya wiki mbili ili kuboresha usimamizi wa utoaji wa huduma ya afya msingi nchini.

Dkt. Magembe ametoa maelekezo hayo leo wakati wa kikao kazi chake na watumishi wa Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI kilicholenga kuhimiza uwajibikaji katika eneo la usimamizi wa utolewaji wa huduma za afya msingi nchini.

“Ili kutekeleza kikamilifu majukumu ya idara ya afya, naelekeza kukutana kila baada ya wiki mbili kwa ajili ya kujadili changamoto zinazotukabili, kuanisha shughuli tulizozitekeleza vizuri na kufanya tathmini ya utendaji kazi wetu ili kuwa na ufanisi endelevu wa utekelezaji wa majukumu ya idara yetu,” Dkt. Magembe amesisitiza.

Dkt. Magembe amesema, wananchi wanaotibiwa katika ngazi ya afya ya msingi ni kati ya asilimia 77 hadi 80 hivyo jukumu la Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI ni kubwa kwasababu inawahudumia wananchi wengi walio katika mamlaka ya Serikali za Mitaa.

“Tunawafikia wananchi wengi na si tu kwenye eneo la tiba bali ni pamoja utoaji wa huduma za chanjo, uzazi wa mpango, lishe na ustawi wa jamii, hivyo huduma nyingi wananchi wanazipata kupitia ngazi ya afya ya msingi na hii ni kwasababu zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya ndio zipo karibu na wananchi,” Dkt. Magembe amefafanua.

Dkt. Magembe ameongeza kuwa, kwa kuwa sehemu kubwa ya wananchi wanategemea huduma katika ngazi ya afya ya msingi hivyo ni muhimu kwa watumishi wa Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe kuhakikisha huduma zinazotolewa zinakuwa na ubora unaotakiwa, zinakidhi matarajio ya wananchi na zinapatikana muda wote. 

“Ninyi na mimi ndio tumepewa jukumu la kuhakikisha tunasimamia na kuratibu utekelezaji wa afua zote za sekta ya afya, kutekeleza maagizo na maelekezo ya viongozi, kuwasimamia vema watumishi wa sekta ya afya walio katika ngazi ya afya ya msingi ili watoe huduma bora, ikiwa ni pamoja pamoja na kupokea maoni na kero wananchi dhidi ya huduma zinazotolewa,”  Dkt. Magembe amehimiza.

Sanjari na hilo, Dkt. Magembe amewataka watumishi wa Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe kuwa na mawasiliano ya kila siku na watumishi wa sekta ya afya walio katika ngazi ya msingi ili kutatua changamoto wanazoweza kukabilisana nazo wakati wa kuwahudumia wananchi.

Dkt. Magembe amefanya kikao kazi na watumishi wa Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa lengo la kuhimiza uwajibikaji ikiwa ni pamoja na kufanya tathmini ya utekelezaji wa maazimio ya kikao kazi cha Septemba 17, 2024 kilicholenga kuimarisha usimamizi wa huduma za afya msingi nchini.

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 2 May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.