Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Serikali yakerwa na kasi ndogo ya ujenzi wa daraja la mto Ng’ombe Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

Imewekwa tar.: August 15th, 2020

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  Mhandisi  Joseph Nyamhanga  ameiagiza Kampuni ya ujenzi ya China Henan International Corporation Group Co. Ltd (CHICO) anayejenga  Daraja la mto  ngombe eneo la sinza  kuhakikisha anakamilisha ujenzi kwa wakati ili kuwaondolea adha wananchi wa eneo hilo

Ametoa agizo hilo leo wakati akikagua miradi ya maendeleo   inayotekelezwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Jijini Dar-es-salaam

Nyamhanga amesema kuwa kasi ya ujenzi wa daraja la mto huo ni ndogo  kwani hadi sasa ujenzi umekamilika kwa asilimia 40, hivyo amemuagiza mkandarasi  CHICO kuhakikisha anakamilisha ujenzi huo kwa wakati

Amefafanua kuwa faida za ujenzi wa daraja hilo ni  kuondoa  tatizo la mafuriko  ambalo lilikuwa likiwasumbua wakazi wa eneo hilo na maeneo jirani hivyo kucheleweshwa kwakwe  kunasabisha adha kubwa kwa wananchi hasa katika kipindi cha mvua,

Ameendelea kufafanua kuwa mradi ulitakiwa kukamilika tarehe 16 Septemba, 2020, hivyo mkandarasi aongeze kasi  kuhakikisha anakamilisha katika muda uliopangwa  kwani kutokukamilishwa kwa wakati kwa mradi huo  serikali haitasita kumkata  faini kwa kutokukamilisha mradi huo kwa wakati.

Amewaagiza Wakala wa Barabara, Mijini na Vijijini (TARURA),Halmashauri ya  Manispaa ya Kinondoni, Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salaam kuahakikisha wanasimamia kwa karibu mradi huo ili uweze kukamilika kwa kwa wakati ili kuwapunguzia adha wananchi kuzunguka

“Ili kupunguza kero kwa wananchi ni vyema wakandarasi wakahahihisha wanakamilisha ujenzi kwa wakati, niwatake Halmshauri ya Manispaa  ya Kinondoni kuhakikisha hawaongezi muda” Amesisitiza Mhandisi Nyamhanga

Aidha. amesema Serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli  imetoa zaidi ya  shilingi  bilioni 731 kwa ajili  ya kuendeleza  miundombinu katika Jiji la Dar-Es-Salaam  yakiwemo  masoko, mifereji ya maji ya mvua  na barabara kwa lengo la kuboresha jiji hilo

Naye Meneja wa TARURA Halmashauri ya Manispaa Kinondoni Mhandisi Leopord Runji amesema ujenzi wa daraja la mto Ngombe lina urefu wa kilometa 7.6 hadi sasa mkandarasi ameshakamilisha ujenzi wa daraja hilo kwa kilometa 3 na madaraja matatu yameshajengwa yakiwemo daraja la barabara ya Salma Kikwete, daraja la Mtogole na Magomeni makuti

Ameeleza kuwa mradi utakuwa na vivuko vya waenda kwa miguu 15 ambapo hadi sasa vivuko 7 vimeshajengwa na mradi huu utagharimu zaidi ya shilingi bilioni 32,8 ambapo pia utajenga mabwawa 2  eneo la ubungo maji kwa ajili ya kuchukua maji kabla ya kuleta madhara

Aidha, mradi huu utaondoa tatizo kubwa la mafuriko  kwa wakazi zaidi ya kata 6 na mitaa 32 na pia mradi huu utakuwa na sehemu ambazo wananchi watatumia kwa ajili ya kupumzika .

Na Angela Msimbira DAR-ES-SALAAM



Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.