Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Serikali Kuboresha Barabara za Miji 66 Nchini 2019/2020

Imewekwa tar.: July 6th, 2019

Serikali imetenga kilomita moja ya lami kwa miji 66 nchini katika mwaka wa fedha 2019/2020 kama muendelezo wa malengo yake ya kuimarisha barabara na mandhari ya miji yake ambayo ujenzi wake unafanywa kupitia fedha za Serikali na Proramu mbalimbali nchini.

Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga alipotembelea barabara ya Rutamba-Mnara-Nyengedi inayojengwa kwa kiwango cha lami yenye umbali wa kilomita moja inayojengwa kwa fedha za Mfuko wa Barabara (road Fund) ambayo utekelezaji wake wa jumla umefikia asilimia 75.

Nyamhanga pia amesema kuwa  utekelezaji wa miradi ya barabara za Halmashauri nchini iendane na thamani halisi ya fedha zilizopangwa ikiwa ni pamoja na fedha za Mfuko wa Barabara zilizotengwa kujenga barabara za Halmashauri nchini na kusimamiwa na Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini Tanzania (TARURA).

Amesema miradi mingine ni ile ya kimkakati kama vile masoko, stendi na machinjio ya kisasa ambayo inatakiwa kusimamiwa kwa umakini ili kufikia malengo ya Serikali ikiwa ni pamoja na kujua mapato yanayotarajiwa na Halmashauri husika, thamani ya fedha na uimara wa miundombinu husika.

Meneja wa TARURA Halmashauri ya Wilaya ya Lindi Mhandisi Dawson Paschal amesema kuwa mradi wa barabara hiyo unagharimu shilingi milioni 360 ambapo mpaka sasa milioni 169 zimekwilipwa lakini pia mradi unakabiliwa na changamoto ya kutokuwepo kwa gari la ofisi kwani lililopo ni chakavu pamoja na ufinyu wa bajeti kwani barabara ina kilomita 48 na kilomita 14.4 tu za lami zimejengwa na kubakiza kilomita 33.6

Mhandisi Dawson Paschal pia amesema kiasi cha fedha shilingi 57,981,100.00 kilichotokana na msamaha wa kodi (VAT) kimetumika kujenga mifereji ya maji kutokana na tatizo la mafuriko eneo la Nyengedi.

Katika hatua nyingine Mhandisi Nyamhanga amekagua hospitali ya Wilaya ya Lindi, Kituo cha Afya Mnazi Mmoja, machinjio ya kisasa, barabara za TARURA na dampo vyote katika Manispaa ya Lindi na kutoa maagizo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi Baptista Kihanzi na Msimamizi wa mradi wa machinjio Bw. Ngongolowo kukamilisha mradi huo katika muda uliopangwa na kutoa taarifa ya matarajio ya mapato ya mradi wa machinjio ambao unatarajiwa ng’ombe 100 watachinjwa kila siku kwa ajili ya kitoweo kwa wakazi wa Manispaa ya Lindi na vitongoji vyake.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. REhema Madenge amesema kuwa pamoja nakufanya kazi kubwa katika miradi watasimamia kwa umakini kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati na kwa thamani ile ile ya fedha.


        Anaandika Fred Kibano

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.