• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

NDEJEMBI AELEKEZA KUREKEBISHWA MADIRISHA YA SHULE MPYA YA MSINGI KONA NNE

Imewekwa tar.: August 20th, 2023

Na. James Mwanamyoto (OR-TAMISEMI)

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Deogratius Ndejembi amemtaka fundi aliyepewa kandarasi ya kujenga shule mpya ya msingi ya Kona Nne iliyopo Halmashauri ya Wilaya Ushetu kurekebisha kwa gharama zake mwenyewe madirisha yote aliyoyaweka bila kuzingatia maelekezo ya Serikali.

Mhe. Ndejembi amemtaka fundi huyo kufanya marekebisho hayo haraka, wakati akikagua ujenzi wa miundombinu ya elimu katika shule ya mpya ya msingi ya Kona Nne inayojengwa kupitia mradi wa BOOST katika Kijiji cha Bugomba ‘A’ Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu ambapo alibaini dosari kwenye madirisha ya aluminium yaliyowekwa katika shule hiyo.

"Naelekeza ndani ya siku 14 madirisha yote yaondolewe ili marekebisho yafanyike kwa ufanisi tena kwa gharama za fundi na wasimamizi na si za Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu,” Mhe. Ndejembi amesisitiza.

Mhe. Ndejembi amesema amebaini madirisha hayo hayana wavu na hayajawekwa kwa viwango stahiki, hivyo marekebisho yafanyike na taarifa ya kukamilika kwa marekebisho hayo iwasilishwe kwa maandishi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Mkuu wa Wilaya ya Kahama na kwake ili kujiridhisha na utekelezaji wa maelekezo yake.

Aidha, amemtaka kamanda wa TAKUKURU wilaya ya Kahama kufanya uchunguzi wa matumizi ya fedha katika ujenzi wa shule hiyo ili hatua za kisheria zichukuliwe kwa watakaobanika kukwamisha jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita za kuboresha miundombinu ya elimu nchini.

Sanjari na hilo, amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu Bi. Hadija Kabojela kuchukua hatua za kinidhamu Mwalimu Jonas Mabusi ambaye ni msimamizi wa ujenzi na aliyekuwa mkuu wa shule hiyo Bi. Stella Solezi kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao ipasavyo.


Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MWAMBENE AFUNGA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA ELIMU IRINGA, ASISITIZA USHIRIKIANO

    June 20, 2025
  • MWAMBENE ATOA MAAGIZO KWA WASIMAMIZI WA MICHEZO

    June 20, 2025
  • WANAMICHEZO UMISSETA WAPEWA ELIMU KUHUSU ATHARI YA DAWA ZA KULEVYA

    June 20, 2025
  • WAZIRI MCHENGERWA ASHIRIKI UZINDUZI WA DARAJA LA JP MAGUFULI

    June 19, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.