• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Miradi ya Kimkakati Iwezeshe Halmashauri Kujitegemea - Nyamhanga

Imewekwa tar.: September 14th, 2019

Serikali imepongeza ujenzi wa stendi kuu ya kisasa kwa mabasi yaendayo mikoani Jijini Arusha utakaogharimu shilingi bilioni 10 katika hatua za awali.

Akiongea wakati wa ziara yake ya kikazi hii leo Jijini Arsha Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga amesema Ofisi ya Rais TAMISEMI amepongeza ujenzi wa stendi hiyo unaotarajiwa kuanza eneo la Orasiti nje kidogo ya Jiji la Arusha mara baada ya taratibu za ujenzi kukamilika ikiwa ni pamoja na kulipa fidia ya maeneo ya wananchi yaliyochukuliwa.

Amesema azma ya Serikali ni kuboresha miji, majiji na manispaa kuwa za kisasa zaidi ambapo mpaka sasa Serikali imetumia shilingi bilioni 88 kwa miradi 27 ya kimkakati ikiwemo stendi na masoko kwa ajili ya kuongeza mapato ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Mhandisi Nyamhanga amesema lengo la Serikali ni kuzifanya Mamlaka za Serikali za Mitaa kujitegemea kwa asilimia 100 bila kutegemea fedha za ruzuku kutoka Serikali Kuu baada ya kuboresha mapato yao na hili litaanza na majiji na halmashauri ambazo zimeboresha mapato yao.

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Richard Kwitega amesema kuna mahitaji makubwa ya stendi kutokana na msongamano wa mabasi kwenye kituo cha mabasi na hivyo ujenzi wa stendi mpya na baadhi ya barabara za mzunguko zitaondoa kero ya foleni na msongamano katika Jiji la Arusha.

Naye Mhandisi wa Jiji la Arusha Samwel Mshuza amesema stendi ya Orasiti una ukubwa wa ekeari 29.65 na upo katika hatua za uhakiki wa kulipa fidia ya maeneo kiasi cha shilingi bilioni 1.99 na kutangaza zabuni ya kumtafuta mkandarasi mshauri kwa ajili ya kuandaa michoro.

Mshuza amesema fedha za mradi ni mkopo kutoka benki ya Azania kiasi cha shilingi bilioni 10 na utakapokamilika unatarajiwa kuongeza mapato ya Jiji kwa kiasi cha shilingi bilioni 3.5 kwa mwaka na pia utaondoa msongamano uliopo wa mabasi kwenye kituo cha sasa.

Katika hatua nyingine mhandisi Nyamhanga amekagua ujenzi wa barabara za Serengeti, Machame, Leyora na Sanawari zenye urefu wa kilomita 0.74 ambao umefikia asilimia 76 unaotekelezwa na TARURA kwa fedha kutoka Mfuko wa Barabara kiasi cha shilingi 587,317,000

Mradi mwingine ni barabara za Oljoro-Muriet, bypass-Kisongo, Njiro, Krokon, Ngarenaro na Sombetini-FFU ambazo zinajengwa na mkandarasi Sinohydro Co Ltd kwa gaharama ya shilingi 26,403,980,916.61 na mradi wote umefikia asilimia 94.

Nyamhanga ameagiza miradi yote kukamilika kwa wakati na kujali thamani halisi ya fedha ili kuleta tija kwa wananchi.

               Anaandika Fred Kibano



Matangazo

  • Majina ya waliopata vibali vya Uhamisho wa Kawaida na Kubadilishana (Januari - Julai 2023) October 14, 2023
  • DMDP Documents October 12, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGIWA SHULE CHAGUO PILI MWAKA, 2023 October 04, 2023
  • TANGAZO LA KUTWA KAZINI September 13, 2023
  • Terms of Reference TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS PROJECT (TACTIC) September 01, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA MPYA 2023 AWAMU YA PILI August 30, 2023
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • TUZO ZA UBORA WA ELIMU MWAKA 2023

    December 04, 2023
  • OR - TAMISEMI

    December 04, 2023
  • MCHENGERWA: BARABARA ZA VIJIJINI NA MIJINI ZIPITIKE KWA 85% IFIKAPO 2025

    December 04, 2023
  • MCHENGERWA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA DARAJA LA BIBITITI MOHAMED – MOHORO

    December 03, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.