• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Mhandisi Iyombe atunukiwa Tuzo ya Utumishi Uliotukuka

Imewekwa tar.: December 4th, 2018

Shirika la maendeleo la Japan(JICA) limemtunuku Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandishi Musa Iyombe Tuzo ya Umahiri na Utumishi Uliotukuka.

Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Tuzo Mwakilishi Mkuu wa JICA Tanzania Toshio Nagase amesema amekabidhi tuzo hiyo kwa niaba ya Rais wa Shirika hilo na tuzo hiyo ni ya 14 ambayo hutolewa na Rais wa shirika hilo kwa pamoja na tuzo wanazo toa kwa watu binafsi na mashirika.

Ameongeza kuwa  Mhandisi Iyombe anaingia  miongoni mwa watu na mashirika 49 waliopatiwa tuzo za shirika hilo lengo ikiwa ni kuwatambua watu binafsi au Taasisi zinatoa mchango wa kipekee na kugusa maisha ya watu  katika kuboresha miundombinu, kuendeleza rasilimali watu, kuboresha maisha ya watu pamoja na kupunguza umasikini katika nchi zinazoendelea.

“Mhandishi Iyombe amefanya yote yanayostahili  kupata Tuzo hii tangu wakati akiwa anahudumia Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, kisha kuhudumu katika Wizara ya Ujenzi na ndipo kuja hapa OR-TAMISEMI na kote huko alikopita ametoa mchango mkubwa sana katika kuleta maendeleo kwa mtanzania na Taifa kwa ujumla” alisema Nagase.

Aliongeza kuwa mchango wa Iyombe ulianza kuonekana tangu mwaka 1984 mara tu alipomaliza shahada yake ya kwanza ya Uhandishi huko India na kufanya mafunzo kwa vitendo chini ya wataalamu wa Japan waliokua wanajenga barabara ya Kibiti – Lindi.

Kwa kipindi chote cha miaka 34 sasa amejitoa kwa moyo kutumia Taaluma yake ya Uhandishi kushiriki kuhudumu katika miradi mbalimbali ya maendeleo ndani na Nje ya Nchi ya Tanzania ambayo mingine ilikuwa inasimamiwa na wataalm kutoka Japan.

Akizungumza katika hafla hiyo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amewataka watumishi kufuata nyendo za Mhandisi Iyombe za kuwatumikia wananchi kwa moyo ili waweze kuacha  alama ‘Legacy’ katika Utumishi wao wa Umma.

“Tuzo hii anayokabidhiwa Katibu Mkuu wetu leo asingeweza kuipata kama asingekuwa mahiri katika utendaji kazi wake na kujitoa kwa dhati kutatua kero za wananchi; Hii imepelekea yeye kuonekana kati ya wengi kuwa anastahili kutambulika kimataifa, Tuzo hii iwe somo kwetu tuweze kujifunza na kubadilika’ alisema Jafo.

“Nivigumu sana binadamu kumsifia au kuona mazuri ya binadamu mwenzake kama yuko hai lakini leo Mhandisi Iyombe una sifiwa ukiwa hai hii inaonyesha kuwa wewe ni kiongozi wa kuingwa kwani ni vigumu kutambua mazuri ya mtu akiwa hai” Alisema Jafo.

Naye Mhandisi Mussa Iyombe amesema kuwa tuzo hiyo sio yake bali ni tuzo ya watumishi wote kwani ushirikiano wao ndo umemfanya leo anapata tuzo hii kutoka kwa watu wa JICA.

“Siwezi sema tuzo hii ni yangu bali tuzo hii  ni yetu sote , nasema hivi kwani hapo nilipo bila ushirikiano wenu mimi ni singeweza kupata tuzo hii, kikubwa namshukuru Mungu na twendelee kumuomba Mungu ili tudumishe ushirikiano wetu katika utekelezaji wa wajibu tulio nao kwa watanzania” Alisema Iyombe.



Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.