Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Mawasiliano yarejeshwa kwa Wananchi wa Chinangali II na Mlebe

Imewekwa tar.: December 27th, 2018

Wakala wa barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) wamefanikisha kujenga daraja lililoharibiwa vibaya na mvua za masika na kupelekea kukatika kwa mawasiliano baina ya kijiji cha Chinangali II kilichopo Kata ya Buigiri na kijiji cha Mlebe kata ya Msamalo Wilayani Chamwino.

Akitembelea daraja hilo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo amepongeza upngozi wa TARURA kwa kurejesha mawasiliano baina ya vijiji hivyo kwa kujenga daraja la mlebe sambamba na kujenga barabara ya Chinangali II – Mlebe – Mnase – Mgunga.

Akizungumza katika ziara  ya kukagua barabara na madaraja yaliyoharibiwa na mvua katika Wilaya ya Chamwino mapema leo hii Waziri Jafo amesema liona malalamiko ya wananchi wa Chamwino kupitia mitandao ya kijamii na nikayawasilisha kwa uongozi wa TARURA na kuwaagiza kuchukua hatua stahiki na leo hii nimekuja kuthibitisha utekelezaji wa maelekzo yangu.

“Nafurahi kuona mawasiliano yamerejeshwa na sasa vijiji vya Chinangali II na Mlebe vinaweza kuwasiliana na wananchi wanaendelea na shughuli zao za kujitaftia kipato huku wakizifikia huduma za Afya na Elimu kwa urahisi zaidi” alisema Mhe. Jafo.  

Waziri Jafo aliongoza kuwa hivi ndio Serikali inavyotakiwa kufanya kazi ukiiagiza Taasisi kutatua changamoto zinazowakwaza wananchi  wanatatua kwa wakati na kurejesha huduma stahiki na wakati wote  napenda namna TARURA wanavyofanya kazi zao ni za viwango na zinazokithi mahitaji hongereni sana.

Katika ziara hiyo pia Waziri Jafo alikagua barabara za lami zinazoendelea kujengwa Chamwino Mjini zenye urefu wa Km 3.5  na kusisitiza TARURA kuendelea kusimamia ubora katika ujenzi wa barabara hizo.

“Simamieni Wakandarasi kwa makini katika ujenzi wa barabara hizikwa sababu zinagharimu fedha nyingi sana hizi km 3.5 zinazojengwa hapa ni zaidi Tsh. Bil 1.5 ili vile vipimo vinavyotakiwa kwenye barabara vipatikane kama Tabaka la Chini, la kati mpaka lile la juu pia muhakiki upana wa barabara unaotakiwa unafikiwa kwa vipimo vyenu na sio vya mkandarasi” alisema Mhe. Jafo.

Akizungumzia ujenzi wa daraja sambamba na barabara iliyoharibiwa na mvua Meneja wa TARURA Wilaya ya Chamwino Eng. Nelson Maganga anasema kuwa  kupitia mfuko wa barabara walitenga Tsh Mil 41.9 kwa ajili ya ujenzi wa barabara na daraja la mlebe lakini mkandarasi aliyepatikana atajenga kwa gharama ya Tsh Mil 37.5 hivyo kuna bakaa ambayo itatumika kuendelea kuimarisha barabara zingine zilizoathirika.

“Pamoja na juhudi kubwa za Serikali katika kutatua changamoto za barabara hii wananchi wa Mlebe walianza kujitolea kwa kukusanya mawe na kuponda kokoto kwa lengo la kurekebisha eneo hilo  lakini  TARURA Chamwino Dc iliwapongeza na kuwashukuru wananchi wa kijiji cha mlebe kwa jitihada zao kisha TARURA kuendelea kujenga barabara pamoja  na daraja hilo” alisema Eng. Maganga.

Kwa hivi sasa barabara ya Chinangali II – Mlebe – Mnase – Mgunga yenye urefu wa Km 22.8 pamoja na madaraja kwa sasa inapitika vizuri kutokana na matengenezo mazuri yaliyofanywa na TARURA.


Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.