• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Mashindano ya UMISSETA yazidi kupamba moto Mtwara

Imewekwa tar.: June 22nd, 2021

Na Mathew Kwembe, Mtwara

Michuano ya UMISSETA inaendelea kushika kasi katika viwanja mbalimbali vya Chuo cha Ualimu na Shule ya Ufundi Mtwara kwa timu mbalimbali kujichukulia pointi muhimu dhidi ya wapinzani wao katika hatua ya makundi.

Matokeo ya michezo mbalimbali iliyopigwa leo inaonyesha timu za Unguja na Pemba ambazo nazo zinashiriki michuano hii hazijaja kinyonge kwani katika mpira wa wavu wavulana, unguja iliwafunga Pwani seti 3-0, na katika soka wavulana Pemba waliichapa Arusha magoli 2-0.

Matokeo mengine ya mpira wa wavu kwa wavulana yanaonyesha Dar es salaam waliwafunga Iringa seti 3-0, Tabora wameichapa Tanga seti 3-0, Mbeya wameifunga Rukwa seti 3-0, Mara dhidi ya Manyara 3-0, Ruvuma dhidi ya Singida 0-3,  na Shinyanga dhidi ya Mtwara 2-3

Pia Lindi imeifunga Kagera seti 3-2, Simiyu wameichapa Pemba seti 3-0, Morogoro imefungwa na Njombe seti 1-3, Kilimanjaro imeifunga Songwe seti 3-0, Geita imeifunga Katavi seti 3-1, Songwe imefungwa na Shinyanga seti 0-3. Dar es salaam imeichapa Singida 3-1, na Simiyu imeifunga Pwani seti 3-1.

Mpira wa wavu wasichana Lindi imefungwa na Tabora seti 1-3, Simiyu  imefungwa na Mbeya seti 0-3, Njombe imefungwa na Kilimanjaro seti 0-3, Mtwara imeichapa Ruvuma seti 3-0, Pemba ilichapwa na Morogoro seti 0-3, Dar es salaam imeichapa Kigoma setri 3-0, Manyara imefungwa na Mara seti 0-3, Ruvuma imefungwa na Tabora seti 0-3 na Morogoro imefungwa na Mbeya seti 0-3.

Kwa upande wa mpira wa kikapu katika michezo iliyochezwa leo katika viwanja vya chuo cha ualimu Mtwara Shinyanga iliifunga Njombe vikapu 103-14, Kilimanjaro dhidi ya Simiyu 58-2, Rukwa dhidi ya Kigoma 30-17, Mtwara dhidi ya Dar es salaam 8-93, na Kilimanjaro dhidi ya Tabora 24-27.

Matokeo ya michezo mingine ya mpira wa kikapu yanaonyesha Mwanza imeifunga Ruvuma vikapu 43-16, Lindi dhidi ya Kagera matokeo 9-24, Arusha dhidi ya Dodoma 63-4, Mara dhidi ya Singida 7-39, Dar es salaam dhidi ya Ruvuma 104-12, Mbeya dhidi ya Mara 66-27 na Simiyu dhidi ya Singida 34-27.

Matokeo ya mchezo wa Netiboli hadi filimbi ya mwisho yanaonyesha Pwani 25 kagera 19, Njombe 20 Kigoma 23, Singida 37 Ruvuma 11, Songwe 44 Dodoma 15, Rukwa 20 Manyara 16, Arusha 17 Kilimanjaro 24, Katavi 24 Unguja 17.

Pia Iringa imefungwa na Tabora magoli 12-39, Lindi imechapwa na wenyeji Mtwara 17-23, Shinyanga imefungwa na Mbeya 18-21, Simiyu imeifunga Morogoro 23-21, na Mwanza imeifunga Kagera 42-7

Matokeo mengine ya mpira wa kikapu Lindi dhidi ya Kagera 9-24, Simiyu dhidi ya Singida 34-27, Mbeya dhidi Mara 66-27 na Dar es salaam dhidi ya Ruvuma 104-12.

Katika mpira wa kikapu wasichana timu ya mkoa wa Arusha imeifunga Dodoma 63-4 na Mara wamefungwa na Singida vikapu 7-39.

Kwa upande wa soka wavulana katika michezo iliyochezwa mchana katika viwanja mbalimbali vya chuo cha ualimu na shule ya ufundi Mtwara yanaonyesha Geita imeibugiza Pwani 5-2, Ruvuma na Mbeya 0-0, Simiyu imechapwa na Dar es salaam 0-2, Singida imeifunga Shinyanga magoli 2-0 na Dodoma imeichapa Morogoro 1-0.

Matokeo mengine ya soka wavulana Kilimanjaro ilifungwa na Tabora magoli 1-2, Mwanza ilichapwa na Tanga magoli 0-3, Katavi na Lindi 0-0, Unguja ilifungwa na Njombe 2-4, Songwe iliichapa Manyara magoli 2-0 na Mara ikaifunga Rukwa 1-0.

Michuano hiyo itaendelea tena hapo kesho katika viwanja mbalimbali vya Chuo cha Ualimu na Shule ya Ufundi Mtwara.

Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.