Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

JAFO: Jengeni mahusiano mazuri mahala pa kazi

Imewekwa tar.: March 13th, 2020

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa. Mhe Selemani Jafo amewataka watumishi wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kujenga mahusiano mazuri mahala pa kazi ili kuweza kutoa huduma bora kwa wananchi.

Ameyasema hayo leo  wakati akifungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  unaofanyika  katika  ukumbi wa Chuo cha Kilimo cha Sokoine Mkoani Morogoro.

Mhe. Jafo amesema Baraza la wafanyakazi linajukumu la  kupitia mipango  ya maendeleo lakini  linapaswa kujadili kwa kina masuala ya mahusiano kwenye  maeneo ya kazi  kwa kuwa majukumu hayawezi kufanyika vizuri bila kuwa na mahusiano mazuri sehemu ya kazi.

“Hatuwezi kutimiza majukumu yetu bila kuwa na mahusiano mazuri, mahusiano ni jambo  nyeti, na la msingi  mahala pa kazi kwa kuwa  Maeneo ambayo hakuna mahusiano bora ufanisi nao hushuka hivyo ni wajibu wa kila mmoja  kuhakikisha tunajenga mahusiano bora kwenye utendaji kazi ”Amesisitiza Mhe Jafo.

Amefafanua kuwa haipendezi kuona Mkuu wa Idara anakuwa kama mungu mtu na kuwanyanyasa watumishi walioko chini yake , jambo hili linashusha ari ya watumishi na kupunguza ufanisi katika utendaji kazi wenye mafanikio.

“Ni wajibu wa Mkuu wa Idara au kitengo kuhakikisha anawapa nafasi watumshi anaowaongoza kutoa maoni ya maboresho ili  kuleta mabadiliko kwenye utendaji kazi wa kila siku, jambo hili litasaidia kuongeza kasi ya kujitoa katika kutoa huduma bora kwa wananachi.” Amesema  Mhe. Jafo

Mhe. Jafo amewataka watumishi kujenga mahusiano  baina ya mtu na mtu, idara na Idara ili kuleta mabadiliko ambayo yatasaidia katika kuweka mikakati imara ya kutoa huduma bora kwa wananchi.

Ameendelea kufafanua kuwa kazi hawezi kufanyika vizuri kama hakutakuwa na  upendo na kuheshimiana miongoni mwa watumishi, hivyo amewataka watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini kuhakikisha wanaimarisha upendo na amani miongoni mwao.

“Tatizo la Viongozi wanaopewa dhamana hupandisha mabega na kujikweza pale wanapopewa dhamana   na kuwaona watumishi wengine hawana maana, hiki kitu sikubaliani nacho kabisa, kwenye uongozi  lazima  usimamie haki  na wajibu  lakini ruhusu mawazo  ya wengine kutoka kwa watumishi walio chini yako ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi “ amesema Mhe. Jafo

Amewaagiza baadhi ya viongozi waliopewa dhamana  kuacha tabia ya kuwagawa watumishi na kutengeneza majungu kwa wengine ili waonekane  wazuri na kufanikisha mambo yao, bali wasimamie haki kwa watumishi wote ili kujenga umoja na mshikamano.  

Amewataka watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini kuhakikisha wanaheshimiana  ili  kuweka mazingira mazuri katika maeneo ya kufanyia kazi

Aidha amewashukuru watumishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kuonyesha weledi mkubwa katika kutimiza majukumu yao katika kipindi cha miaka minne na kuleta mabadiliko makubwa katika utendaji katika  kuwahudumia wananchi.

Na. Angela Msimbira MOROGORO


Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.