Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Halmashauri zaagizwa kutenga bajeti kwa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi.

Imewekwa tar.: October 25th, 2018


Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  Mhe  Selemani Jafo ameziagiza Halmashauri zote nchini  kuhakikisha  katika mpango wa bajeti ya mwaka 2019/2020  kila Halmashauri kutenga shilingi milioni sita kwa ajili ya kuanza kushughulikia matatizo ya  watoto wenye kichwa kikubwa  na mgongo wazi nchini.

Ameyasema hayo wakati akiwahutubia wananchi kwenye maadhimisho ya kitaifa ya siku ya watoto wenye kichwa kikubwa na mgongo wazi duniani iliyofanyika katika viwanja vya hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma, Jijini Dodoma leo.

Mhe Jafo amesema kuwa kila Halmashauri ikitenga fedha hiyo itasaidia kuhudumia watoto thelathini (30) jambo ambalo litakuwa linapunguza matatizo ya watoto hao nchini.

“Nahitaji  kuiona bajeti ya watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi  nchini  katika kila kitabu cha Halmashauri lengo likiwa ni kuhakikisha watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi wanapata tiba kwa wakati hapa nchini”anasisitiza Mhe. Jafo.

Akifafanua zaidi amesema Serikali imetenga fedha kupitia mapato yake ya ndani katika Hamashauri ambazo ni takribani bilioni 51 ambayo asilimia 2 ni kwa ajili ya vijana, asilimia 4 kwa  ajili ya kina mama na  asilimia 2 kwa ajili ya watu wenye ulemavu  lakini taarifa zinazotolewa na baadhi ya Halmashauri ni kuwa makundi ya walemavu ni machache.

“Nawaagiza Maafisa Usatwi wa Jamii kuhakikisha wanawatafuta watu wenye ulemavu kuanzia ngazi ya kaya, kata, tarafa ili waweze kunufaika mna mikopo hiyo inayotolewa na Serikali, achene kukaa maofisini wahudumieni wananchi hasa watu wenye ulemavu” Anasema Mhe. Jafo

Amewaagiza Maafisa Ustawi wa Jamii kufanyakazi kwa uadilifu kwa kuwaibua watu wenye ulemavu waliofichwa majumbani ili waweze kupata haki zao za msingi zinazotolewa na Serikali.

Wakati huohuo amewataka Wakuu wa Mikoa wote nchini kuhakikisha  wanawasilisha taarifa maalum kila mwezi  katika ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa inayoelezea namna ilivyoweza kutatua matatizo ya watu wenye ulemavu katika Mikoa yao.

Amesema kuwa suala la watoto wenye vichwa vikubwa na migongo wazi ni kubwa na linapaswa kusimamiwa hivyo watanzania waungane pamoja  ili kupunguza tatizo hilo na amewataka wazazi kuwa wajasiri katika kuwahudumia watoto  hao.

Amewataka Madaktari nchini kufanyakazi kwa weledi mkubwa kwa kujitoa katika kutoa huduma kwa jamii ili kuokoa maisha ya wananchi wanyonge na maskini.

Aidha amewataka Wakuu wa Mkoa wote nchini kusimamia kamati za watu wenye ulemavu kwa kuhakikisha kwamba zinaundwa kwa ajili ya kuangalia kada zote za ulemavu.

Naye Mwenyekiti  wa chama cha ASBAHT Taifa  Bw. Abdulhakim Bayakub amesema changamoto kubwa ni uwepo wa vituo vichache vya kutolea huduma za watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi, upungufu wa wataalam wa kutoa tiba hii pamoja na ukosefu wa vifaa tiba hasa mipira ya Shanti ambayo ndio mkombozi mkubwa wa watoto wenye vichwa vikubwa.

Aidha ameiomba Serikali na Hospitali zinazotoa huduma za watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi kutoa mafunzo zaidi kwa madaktari katika Hospitali za Mikoani ili kufikisha huduma hii karibu na jamii na kupunguza msongamano katika hospitali zinazotoa huduma hiyo kwa sasa.

Na Angela Msimbira



Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.