• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

HALMASHAURI YA MOSHI ONGEZENI KASI UJENZI WA HOSPITALI YA HALMASHAURI

Imewekwa tar.: November 23rd, 2022

OR-TAMISEMI

Timu ya usimamizi  shirikishi kutoka idara ya huduma za Afya  Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali  za Mitaa imeishauri  timu ya uendeshaji  wa huduma za afya ( CHMT) Halmashauri ya Wilaya Moshi   kuongeza kasi katika ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri hiyo ili ujenzi ukamilike kwa wakati na huduma zianze kutolewa kwa wananchi.

Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Huduma  za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii Dkt.Ntuli Kapologwe kwa niaba ya timu ya usimamizi shirikishi  22 Novemba 2022   baada ya kukagua utekelezaji  wa ujenzi huo na kubaini  kuwa kasi ya utekelezaji bado hairidhishi na ujenzi  upo nyuma ya muda wa utekelezaji.

Kwa upande wake mganga Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro  Dkt. Jairy  Khanga amemshauri mhandisi wa Halmashauri ya  Wilaya Moshi kuandaa mpango kazi wa utekelezaji ambao utaainisha  kazi zilizobaki na muda wa ukamilishaji ili kurahisisha utekelezaji.

Katika Halmashauri hiyo timu ya usimamizi  shirikishi kutoka OR-TAMISEMI  ilitembelea  ujenzi wa Kituo cha Afya cha Marangu HQ ambapo imeridhishwa na ubora wa majengo pamoja na  kasi ya   utekelezaji  na imetoa wito kwa  CHMT kuendelea kuimarisha usimamizi na kasi ya utekelezaji ili  ujenzi huo ukamilike ifikapo tarehe   22 Desemba 2022 kama ilivyopangwa.

Baada ya timu ya usimamizi shirikishi  kutembelea   na kukagua utoaji wa huduma katika Zahanati ya  Naibili iliyopo latika Halmashauri ya  Siha ,Diwani wa Kata ya  Makiwaru Ezekiel Lukumay ameiomba Serikali kuendelea  kushirikisha wananchi wakati wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo  ili kuleta umiliki na kuimarisha ulinzi.


Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RAIS SAMIA AMWAGA BIL. 50 BARABARA IKWIRIRI -MKONGO

    June 23, 2025
  • UNGUJA YAIADHIBU SIMIYU KIKAPU WAVULANA

    June 23, 2025
  • DAR YAZIDI KUCHANJA MBUGA KIKAPU WAVULANA 

    June 22, 2025
  • GOAL BALL YAANZA UMISSETA 2025, WASHIRIKI WAZIDI KUONGEZEKA 

    June 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.