Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

GoTHOMIS iliyoboreshwa Imenoga, Halmashauri Jipangeni kuipokea - Serikali

Imewekwa tar.: February 7th, 2020

Serikali imezitaka Halmashauri zote nchini kujipanga kwa ajili ya maandalizi ya kuupokea mfumo ulioboreshwa wa usimamizi na uendeshaji wa shughuli za afya (Improved Government of Tanzania Health Operations Management Information System-GoTHOMIS), unaomaliziwa kusukwa hivi sasa na wataalamu wazawa.

Rai hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Dorothy Gwajima, muda mfupi baada yakutembelea kikosi kazi hicho mkoani Morogoro kinachoiendelea na kazi ya usukaji wa mfumo.

Akizungumza mara baada yakupata wasilisho kutoka kwa wataalam, Dkt. Gwajima, alisema Serikali imejizatiti katika uimarishaji wa miundombinu ya afya lakini uimarishaji huo wa miundombinu utakuwa na maana sana kama mifumo madhubuti na yenye tija itasimikwa katika kila kituo  cha kutolea huduma za afya.


“Nakosa cha kuongea maana nimezunguka nchi hii takribanini yote sasa, matatizo makubwa yaliopo huko, ni pamoja na utunzaji mbovu wa kumbukumbu, hivyo tukiwa na mfumo kama huu ni matumaini yangu tutakuwa tumepata suluhu ya kudumu” alisema Dkt. Gwajima, na kuongeza kuwa “kwa kuwa kipindi hiki ni cha maandalizi ya bajeti kila kituo kione uwezekano wakutenga milioni 10 kwa ajili ya vifaa. Aidha kwa upande wa zahanati wanaweza kuwatumia wadau na nimelichukua tuone tutalishughulikiaje” alisisitiza Naibu Katibu Mkuu.

Awali akitoa wasilisho kwa niaba ya kikosi kazi, mtaalam wa TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Bw. Melkiory Baltazari alisema kwamba, mara baada ya kukamilika kwa mfumo yatahitajika mafunzo kwa watumiaji wa mfumo kwani maboresho yaliyofanyika ni muhimu mtumiaji kupata kuujua mfumo.

“Mhe. Naibu Katibu Mkuu, tunajua kwa sasa hatuna kada ya watu wa TEHAMA kwenye ngazi ya kituo, hivyo tunategemea  kutoa mafunzo kwa watumiaji wa mfumo huu ili waweze kuutumia kikamilifu mara baada ya maboresho haya” alifafanua Melkiory.

Mapema tarehe 10 na 11 Novemba, 2019, kikosi kazi hicho kilipokea ugeni wa Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI, Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendelo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwa nyakati tofauti ambapo katika maelekezo yote, walikitaka kikosi kazi kukamilisha kazi  nifikapo tarehe 30 Machi, 2020.

Mapema akimkaribisha Naibu Katibu Mkuu kuzungumza na kikosi kazi, Mkurugenzi wa TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Bw. Erick Kitali, alisema kazi hiyo itakamilika kwa wakati na mara baada yakukamilisha kazi mfumo huo utasimikwa kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya vilivyopangwa.

“Ndugu Naibu Katibu Mkuu, pamoja na kwamba tulipanga kazi hii ikamilike mwezi Machi na kwa muelekeo ulivyo tumefikia asilimia 70, hata hivyo tupo tayari kupokea maelekezo yako” alisema Kitali

GoTHOMIS Iliyoboreshwa ni mfumo muendelezo wa GoTHOMIS ya mwanzo ambayo ilifungwa na kuonesha mafanikio makubwa kuanzia ngazi ya Vituo vya Afya mpaka Hospitali za Mikoa na tayari zaidi vituo 518 yalikuwa yamefungiwa mfumo huo kusadia hasa katika suala zima la utoaji wa huduma bora, utunzaji wa kumbukumbu, kuongeza ufanisi wa kazi na kudhibiti mapato ya serikali yaliyokuwa yakipotelea mikononi mwa watu waovu wachache.

Kikosi kazi kinachoendelea na uundaji wa mfumo wa Improved GoTHOMIS, kinaundwa na Wataalamu wazawa kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Wizara ya Fedha na Mipango na Wakala ya Serikali Mtandao - eGA, kwa ushirikiano wa karibu na wadau wa maendeleo Global Health Supply Chain, Management Science for Health pamoja na Public Sector Strengthening System-PS3.  

Na. Atley Kuni- MOROGORO



Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 2 May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.