• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Ep4r kukarabati Shule ya Ufundi ya Mwadui

Imewekwa tar.: March 11th, 2020

Na Ntenghenjwa Hoseah, Shinyanga

Naibu Katibu Mkuu  Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Gerald Mweli amesema kupitia mradi wa lipa kulingana na matokeo Serikali itakarabati shule ya Sekondari ya Ufundi ya Mwadui.

Mweli ameyasema hayo wakati alipotembelea Shule hiyo leo na kubaini uchakavu mkubwa wa miundombinu ambapo mpaka sasa shule hiyo imeshindwa kutoa Elimu bora ya Ufundi kutokana na uchakavu huo katika madarasa pamoja na karakana.

Akizungumza katika ziara hiyo Naibu Katibu Mkuu Mweli amesema amejionea uchakavu uliokithiri wa miundombinu ya Shule hiyo kitu ambacho kinaweza kupelekea hata wanafunzi kutofanga vizuri katika masomo kutokana na hali hiyo.

“Nimekuja hapa leo kujionea dhahiri ni kwa kiwango gani shule hii ni chakavu na jinsia ambavyo Serikali inaweza kuinusuru kwa kufanya ukarabati mkubwa utakaorudisha shule hii kwenye hadhi yake.

Elimu ya ufundi ni muhimu sana kwa watoto wetu haswa katika kipindi hiki ambacho Nchi inaelekea katika Uchumi wa Kati wa Viwanda ni lazima tuzalishe nguvu kazi yenye taaluma ya ufundi itakayosaidia katika viwanda vyetu” Alisema Mweli.

Aliongeza kuwa ufundi unasaidia kumjenga mtoto kuwa na Elimu ya kujitegemea sio lazima awe ameajiriwa  hivyo shule hii ikifanyiwa maboresho na kutoa Elimu ya ufundi kwa  wanafunzi wengi tutakua tumesaidia katika suala la ajira kwa vijana hao. 

“Sasa kwa hali hii kupitia  mradi wa lipa kutokana na matokeo “Ep4r” tutakarabati shule hii na kuirudisha kwenye hadhi yake na iendelee kutoa elimu ya ufundi wa watoto  wanaochaguliwa katika shule hii na kazi hiyo itaanza hivi karibu”

Akizungumza katika Shule hiyo Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe· Nyabaganga Taraba amesema Majengo mengi ya shule ya Ufundi Mwadui yamechakaa na 

mashine nyingi kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo zimekufa hivyo shule haitoe elimu ile iliyokusudiwa hapo awali.

Shule hii ikikarabatiwa ni Mkombozi wa watoto wa Kishapu maana watapata ujuzi wa kutosha wa kuweza kuwasaidia katika maisha yao hapo baadae na ninaishukuru Serikali kwa kuona uchakavu uliopo na kuahidi kuikarabati nina uhakika kiwango chetu cha Elimu kitaongezeka baada ya ukarabati huo” alisema Taraba.

Naye Mkuu wa Shule ya Ufundi Mwadui amesema shule hiyo ilijengwa mwaka 1961 kwa ufadhili wa Mgodi wa Almasi wa Williamson na kwa  sasa ina wanafunzi 800; Elimu ya ufundi inayotolewa kwa sasa ni ujenzi, uselemala, umeme na kuchonga  vyuma.

Katika ziara hiyo pia Mweli alitembelea Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mwadui ambayo pia iko kwenye hatua za ukamilishaji na itaanza kupokea wanafunzi hivi karibuni aliridhishwa na ukarabati unaoendelea na kumuagiza Mkuu wa Wilaya kuendelea na hatua za kuanza kutoa Elimu kwa watoto wa kike.



Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.