logo

TAMISEMI

Maadili Yetu

Maadili Yetu

1.Uadilifu Tunatoa huduma kwa kuzingatia misingi ya utawala bora, mipaka ya madaraka na kutumia vizuri rasilimali zilizopo kwa manufaa ya umma. 

2.Uwajibikaji Tunabeba dhamana na kuwa tayari kuwajibika kwa utekelezaji wa shughuli za taasisi katika utoaji wa huduma zetu na kutoa maelezo kwa Umma pale inapobidi. 

3.Kufanya kazi kwa pamoja Tunaamini katika kushirikiana ili kufikia lengo na kutoa huduma bora kwa muda muafaka. 

4.Kutoa huduma bila upendeleo Huduma zote zitatolewa kwa haki na usawa bila kujali rangi, kabila, dini, jinsi wala itikadi za kisiasa. 

5.Weledi: Tunatoa Huduma kwa kuzingatia taaluma, ubunifu na kujituma katika kutekeleza majukumu ya kila siku.

Matangazo Muhimu

Soma matangazo na taarifa rasmi ili kuendelea kufahamu shughuli zinazotekelezwa na Wizara.

Habari na Matukio

Soma matangazo na taarifa rasmi ili kuendelea kufahamu shughuli zinazotekelezwa na Wizara.

Cookie

We use cookies to enhance your browsing experience, provide personalized content, and analyze our traffic. By clicking "Accept All Cookies", you agree to the storing of cookies on your device to improve site navigation, analyze site usage, and assist in our marketing efforts. To learn more about how we use cookies and to manage your preferences, please visit our Cookie Policy.