Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Wasimamizi wa Uchaguzi Ngazi ya Wilaya Waapishwa

Imewekwa tar.: September 12th, 2019

Serikali imewataka Wasimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2019 kusoma kwa makini na kusimamia sheria, Miongozo na Kanuni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili kuondoa kasoro zinazoweza kujitokeza wakati wa uchaguzi.

Kauli hiyo imetolewa leo Jijini Arusha na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga wakati akishuhudia kuapishwa kwa Wasimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Halmashauri 6 za mkoa wa Arusha wanaotarajiwa kutoa tangazo la uchaguzi na kutaja maeneo ya utawala hapo kesho.

Mhandisi Nyamhanga amesema kuna haja kubwa ya kujua Kanuni za uchaguzi na Miongozo yake ili kuufanya uchaguzi kutokuwa na kasoro kwa kuzingatia sheria za uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Mhandisi Nyamhanga amesema Waziri Mwenye dhamana na Serikali za Mitaa alifanya uteuzi wa Wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa ngazi ya Wilaya wapatao 184 ambao wote wameapishwa leo nchini kote ili kuendelea na majukumu yote ya uchaguzi utakaofanyika Novemba 24, 2019.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Bw. Richard Kwitega amesema maandalizi yote ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkoani Arusha yapo tayari na kwamba wateule wote wa uchaguzi walioapishwa leo wanatakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu zote na kanuni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa za mwaka 2019.

Amesema katika Halmashauri saba za mkoa wa Arusha jumla ya Miji midogo 6, Kata 158, Mitaa 154, Vijiji 390 na Vitongoji 1,505 ambavyo kwa pamoja wakazi wake watapiga kura kuwachagua Viongozi wa Serikali za Mitaa katika ngazi mbalimbali kama  sehemu ya maboresho ya demokrasia nchini.

Naye Theresia Kyara ambaye Msimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Halmashauri ya Wilaya ya Monduli amesema anaishukuru Serikali kwa kumteua kuwa msimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kwamba ataifanya kazi hiyo kwa kuzingatia Kanuni, Sheria na Miongozo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa ngazi ya Wilaya mkoa wa Arusha walioapishwa leo ni Msena Bina wa Arusha Jiji, Pius Haule wa Halmashuri ya Wilaya ya Karatu, Hossein Mgewa wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, Natang’aduaki Molleli wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido, Jonathan Kiama wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Theresia Kyara wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli na Emmanuel Mhando wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro.

        Anaandika Fred Kibano

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.