• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
    • Machaguo Kidato cha 5 & Vyuo

Vikundi 21 vyanufaika na mikopo ya asilimia 10 Manispaa Kigoma

Imewekwa tar.: February 10th, 2021

Na Fred Elisha, Kigoma

Jumla ya vikundi 21 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wamenufaika na mikopo ya asilimia 10 inayotolewa kutoka katika mapato ya ndani ya halmashauri.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Mwailwa Pangani amesema kati ya vikundi hivyo, viwili ni vya walemavu, saba ni vijana na 12 ni vya wanawake ambavyo jumla vilikopeshwa kiasi cha sh. 80,277,500.

Pangani amefafanua kuwa halmashauri yake ilivikopesha fedha vikundi vya wanawake kiasi cha sh. 53,500,000, vijana sh 24,500,000 na walemavu sh 2,277,500 fedha ambazo walizitumia kufanyia biashara na ujasiriamali.

Miongoni mwa vikundi vilivyonufaika na mikopo hiyo katika Manispaa ya Kigoma ni Kikundi cha Watu wenye ulemavu cha Nyota Njema hujishughulisha na utengenezaji wa Sabuni,Ushonaji wa Mashuka na biashara ya usafirishaji wa abiria kwa njia ya bajaji.

Katibu wa Kikundi hicho aliyejitambulisha kwa jina la Akizimana amekiri kikundi chao kupokea mkopo wa sh 5,000,000 kutoka Manispaa ya Kigoma Ujiji ambapo kikundi kimekwisharejesha kiasi hicho na wanajiandaa kuomba mkopo mwingine wa sh.milioni 13.

Naye Aisha Kigwiza, Mwenyekiti wa Kikundi Cha Tegemeo kinachohusika na uzalishaji na utengenezaji çhaki eneo la Ujiji amesema kikundi chao chenye wanachama kilipokea sh.5,000,000 za mapato ya ndani ya halmashauri na kimekwisharejesha fedha zote na kinajiandaa kuomba mkopo mwingine ili kiweze kupanua shughuli zake mjini humo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kikundi cha vijana cha Aquaculture Experty kinachojishughulisha na ufugaji wa samaki, uuzaji wa Vyakula na vinywaji katika mgahawa uliopo katika Mwalo wa Kibirizi Mashaka Matiko Pamoja na kukiri kupokea fedha kiasi cha sh 5,000,000 kutoka katka mapato ya ndani ya halmashauri aliipongeza serikali kwa hatua hiyo ya kuwapa vijana mikopo isiyo na riba

"Kwa kweli naipongeza Serikali na Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji kwa kuwa sasa sisi vijana wa kikundi hiki hatuna hofu ya kutoajiriwa kwani kupitia shughuli zetu tumeweza kujiajiri na kuwaajiri baadhi ya vijana wenzetu walipo mtaani na hawana kazi,” amesema

  Katika mwaka wa fedha 2020/2021 Manispaa ya Kigoma Ujiji imetenga kiasi sh 77,645,546 na tayari halmashauri yake imekwishakopesha sh 21,500,000 sawa na asilimia 27 hadi februari, 2021 kiasi cha Million 40 kitakopeshwa kwa vikundi vingine baada ya kukamilika kwa upembuzi yakinifu kutoka kwa wataalamu wa Maendeleo ya Jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI - TOA July 22, 2022
  • MAJINA YA WALIOPATA AJIRA KADA ZA AFYA NA UALIMU June 26, 2022
  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Utekelezaji wa Miradi ya Elimu isimamiwe na kukamilika kwa wakati- Dkt. Msonde

    August 15, 2022
  • UBUNIFU KIVUTIO UMISSETA 2022

    August 15, 2022
  • Bilioni 776.6 zaelekezwa katika ujenzi, ukarabati na matengenezo ya barabara vijijini na mijini katika mwaka wa fedha 2022/23

    August 14, 2022
  • TARURA KUONGEZA MTANDAO WA BARABARA ZA LAMI KM 1,450, CHANGARAWE KM 73,242’ ENG. SEFF

    August 14, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.