• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Ushirikiano wa Viongozi na Watumishi Utaboresha Huduma kwa Wananchi

Imewekwa tar.: January 17th, 2019

Watumishi wa Umma wametakiwa kutumia sheria, taratibu, kanuni na busara katika kutekeleza majukumu ili kuleta ubora katika huduma wanazo zitoa kwa watanzania.

Hayo yamebainishwa leo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Selemani Jafo katika hafla fupi ya kuwakaribisha Viongozi wapya na kuwaaga Viongozi waliokuwa katika ofisi hii.

Mhe. Jafo amesema ili kupata matokeo bora katika utendaji kazi wa mtumishi yeyeto lazima kujenga daraja la mahusiano mazuri na upendo baina yetu ili kuweza kutoa huduma stahiki kwa watanzania tunao wahudumia.

“Sisi Viongozi jukumu letu ni kuwahudumia watanzania na kuhakikisha wanapata huduma bora kutoka kwetu kwani wao ndio walio tupa dhamana hii ya kuwatumikia, bila wao sisi tusingekuwa na watu wa kuwahudumia” Amesema Jafo.

Jafo amesema kuwa yeye na timu nzima ya Ofisi ya Rais -TAMISEMI wanawakaribisha Katibu Mkuu OR - TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga na Naibu Katibu Mkuu (Afya) OR-TAMISEMI Dkt. Dorothy Gwajima na kuwaahidi kutoa ushirikiano wa hali ya juu ili kuhakikisha wanapata matokeo zaidi katika utendaji kazi wa kuwahudumia wananchi.

Jafo ameongeza kuwa kuna haja ya Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga kukaa na wataalamu wake kuona ni namna gani wataboresha miundo mbinu ya barabara katika Halmashauri na Wilaya za nchi hii.

Kwa upande mwingine Jafo amesema kuwa anawapongeza sana Mhandisi Mussa Iyombe na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.Zainabu Chaula kwa ushirikiano mzuri na utendaji bora waliyouonyesha kipindi walichohudumu katika Ofisi ya Rais - TAMISEMI na kuwatakia kila la kheri huko waendako.

Naibu Waziri anayeshughulikia Elimu OR - TAMISEMI Mwita Waitara amewataka watumishi kuwa mabalozi wazuri wa Serikali katika kutekeleza miradi mbali mbali inayotekelezwa na serikali hii.

“Kila mtumishi ni wajibu wake kuwa muadilifu katika kutekeleza miradi ya Umma na kila mtu atambue wajibu wake katika nafasi yake ili kuleta mapinduzi katika kukuza maendeleo ya nchi yetu” Amesema Waitala.

Kwa upande wake Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga ametoa wito kwa watumishi wa OR-TAMISEMI kumpa ushirikiano wakutosha katika kuboresha huduma za utekelezaji wa miradi ya Umma, kusimamia ukusanyaji wa mapato na kuhakikisha yanatumika vizuri katika kuwanufahisha watanzania kwani ni kodi zao.

Akitoa neno la kuwaaga na kuwashukuru watumishi na Viongozi wa OR TAMISEMI, Mhandisi Mussa Iyombe ametoa nasaha kwa watumishi wa Umma kwa kuwataka kutenda haki na kuwa wawazi katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku kwani ndio silaha bora ya mtumishi Umma.

Naye Dkt.Chaula ametoa wito kwa watumishi wote kuwa na utayari wa kufanya kazi na mtu yeyote na sehemu yoyote kwani watumishi jukumu kubwa kwao ni utendaji na katika swala la uongozi ni mchezo wa kupokezana vijiti.

Awali akiwasalimia watumishi wa OR TAMISEMI Dkt. Dorothy Gwajima amesisitiza kuimarisha uratibu mzuri, uwazi, utekelezaji wa majukumu ili kujenga Serikali ya watu na kwa ajili ya maendeleo ya watanzania kwa ujumla.

                                Wanaandika Majid Abdulkarim na Fred Kibano

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI - TOA July 22, 2022
  • MAJINA YA WALIOPATA AJIRA KADA ZA AFYA NA UALIMU June 26, 2022
  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MJINI MAGHARIBI, PEMBA ZATWAA UBINGWA MPIRA WA MEZA

    August 17, 2022
  • ‘TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA’ BASHUNGWA

    August 17, 2022
  • Utekelezaji wa Miradi ya Elimu isimamiwe na kukamilika kwa wakati- Dkt. Msonde

    August 15, 2022
  • UBUNIFU KIVUTIO UMISSETA 2022

    August 15, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.