• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Ummy aifanya Kahama Shamba darasa, Awapeleka RC’S, RAS’S kujifunza

Imewekwa tar.: August 27th, 2021

Na Atley Kuni – KAHAMA.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy Mwalimu amelazimika kuigeuza Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kuwa sehemu ya Shamba darasa kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa kote nchini.

Hatua hiyo ya Waziri Ummy imewafikisha viongozi hao katika miradi ya uwezeshaji ya wananchi kiuchumi kwenye eneo la Chapulwa, lenye ukubwa wa hekari 2000 huku hekari 90 zikiwa zimetolewa kwa mwekezaji, na katika eneo la Zongomera lenye hekari 2100, Hekari 500 zimegawanywa kwa wajasiriamali ili waendeshe shughuli za kibiashara na ufundi.

Wakionekana kuguswa na hatua zilizochukuliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, yakuwawezesha wanachi kujikwamua kiuchumi, Wakuu hao wa Mikoa wameaahidi kutumia fursa ya maarifa waliyopokea kwaajili ya Mikoa yao.

Akiongea kwa niaba ya Wakuu wa Mikoa wenzake, Mwenyekiti wa Wakuu wa Mikoa John Mongella, ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, amesema ziara hiyo imewafungua macho, hivyo watachukua hatua za haraka katika kufanikisha azma hiyo kwakuwawezesha wananchi kwenye maeneo yao.

“Mhe. Waziri, Mimi kwa niaba ya viongozi wenzangu hatuna lakusema kwa sasa, ila tumuahidi Mhe. Rais kwamba, tunakwenda kuishi viapo vyetu, moja ikiwa nikuhakikisha maarifa haya ambayo wenzetu wa Kahama tumevuna kwao, sisi tutakwenda kufanya vizuri zaidi” alisema Mongella.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adamu Malima, hakusita kuonesha hisia zake mbele ya Waziri Ummy na kutoa maelekezo kwa Katibu Tawala wa Mkoa huo, kuhakikisha manunuzi ya Jozi tatu za Masofa ambazo zilikuwa zimepangwa kununuliwa na Ofisi hiyo ya Mkuu wa Mkoa kwenye maeneo mengine, sasa manunuzi hayo yafanyike kwenye kampuni ya *Wahitime Furniture* ya Kahama Shinyanga ilioanzisha kiwanda cha Furniture katika eneo hilo la biashara ikiwa ni jitihada zakuunga Mkono shughuli hiyo inayofanywa na vijana wazalendo wa kitanzania.

Awali akitoa maelezo Mbele ya Waziri wa Nchi na Ujumbe wake, Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama, Anderson Msumba, alisema wao kama Manispaa walikaa na kuamua kutoa Hekari 500 bure kwa wananchi, lakini mara baada ya Mradi kuanza, sasa Halmashauri inakusanya shilingi Milioni. 80 kila mwaka, fedha inayoingia kama sehemu ya mapato ya ndani.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI - TOA July 22, 2022
  • MAJINA YA WALIOPATA AJIRA KADA ZA AFYA NA UALIMU June 26, 2022
  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MJINI MAGHARIBI, PEMBA ZATWAA UBINGWA MPIRA WA MEZA

    August 17, 2022
  • ‘TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA’ BASHUNGWA

    August 17, 2022
  • Utekelezaji wa Miradi ya Elimu isimamiwe na kukamilika kwa wakati- Dkt. Msonde

    August 15, 2022
  • UBUNIFU KIVUTIO UMISSETA 2022

    August 15, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.