• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

TAMISEMI Queens yaichapa Makutupora JKT magoli 34 kwa 27

Imewekwa tar.: September 4th, 2019

Michuano ya netiboli ligi daraja la kwanza imeendelea tena leo katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ambapo katika mchezo wa kusisimua uliochezwa jioni umeshuhudia timu ya netiboli kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ‘TAMISEMI QUEENS’ ikiwachapa maafande wa JKT Makutupora kwa magoli 34-27.

Mchezo huo ulilazimika kusimama kwa takribani dakika 40 baada ya kundi kubwa la nyuki kuvamia uwanja huo na kusababisha taharuki kwa wachezaji na wananchi waliojitokeza kwa wingi kushuhudia mchezo huo.

Magoli yote ya TAMISEMI QUEENS yalifungwa na mfungaji hodari wa timu hiyo Lilian Jovin, ambaye kutokana na umahiri aliounyesha katika ligi hiyo anatarajiwa kuwa mfungaji bora wa michuano hiyo.

Kwa matokeo hayo, timu ya TAMISEMI QUEENS ipo  nafasi ya tatu baada ya kupata jumla ya pointi 12 katika michezo 8  iliyocheza ambapo timu hiyo ilifanikiwa kushinda michezo 6, na kufungwa michezo miwili.

Wanaoongoza ligi hiyo ni timu tishio ya JKT Mbweni iliyo na pointi 14 baada ya kucheza michezo 7 na kufuatiwa na Jeshi Stars ambao nao wana pointi 14, na nafasi ya tatu na ya nne zikichukuliwa na TAMISEMI QUEENS na Jiji la Arusha, huku timu zote zikiwa na pointi 12 isipokuwa timu ya TAMISEMI QUEENS ikiwazidi jiji la Arusha kwa wingi wa magoli ya kufunga.

Akizungumzia michuano hiyo Kiongozi wa TAMISEMI QUEENS Rose Makange alisema kuwa timu yake ipo vizuri kwani kufikia sasa imeshinda michezo 6 kati ya 8 waliyokwisha cheza na akaahidi kufanya vizuri katika mchezo wao wa mwisho dhidi ya wanaoongoza ligi hiyo JKT Mbweni.

Bi Makange ameongeza kuwa timu yake haiwaogopi timu yoyote na akawataka JKT Mbweni ambao watakutana nayo siku ya jumamosi tarehe 7 septemba, wajiandae kwa kipigo kitakatifu kutoka kwa timu yake.

Hata hivyo kiongozi huyo wa TAMISEMI QUEENS amelalamikia kukiukwa kwa kanuni za uendeshaji wa ligi hiyo kufuatia baadhi ya timu kuchezesha zaidi ya wachezaji watatu wa kutoka nje ya nchi kinyume na kanuni zinazotaka timu hizo kutochezesha zaidi ya wachezaji watatu.

Bi Makange amewataka viongozi wa chama cha mchezo wa pete Tanzania (Chaneta) kutofumbia macho ukiukwaji wa kanuni hizo, na akataka chama hicho kutenda haki kwa kutoa adhabu kwa timu zilizokiuka kwa makusudi kanuni hiyo ili ligi hiyo impate mshindi halali.

Anaandika Mathew Kwembe, Dodoma.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Fomu za kujiunga na Kidato cha kwanza 2024 December 16, 2024
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • SERIKALI ITAENDELEA KUTOA  MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE.

    May 13, 2025
  • HALMASHAURI ZATAKIWA KUSIMAMIA ZOEZI LA USAFI WA BARABARA

    May 13, 2025
  • SERIKALI ITAENDELEA KUTENGA BAJETI KWA AJILI YA UNUNUZI WA MAGARI YA WAGONJWA.

    May 12, 2025
  • Mhandisi Mativila aridhishwa Utekelezaji wa Miradi ya Barabara ya Mtili-Ifwagi na Sawala-Iyegeya

    May 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.