• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

TAMISEMI ndani ya miaka minne

Imewekwa tar.: November 30th, 2021

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy Mwalimu  amesema katika kipindi cha miaka 60 ya Uhuru, huduma za jamii zimeimarika na kusogezwa kwa jamii.

Akitoa taarifa  kwenye mkutano na waandishi wa Habari Mkoani Dodoma leo kuhusu mafanikio, Changamoto na muelekeo wa Tawala za Mikoa na Serikai za Mitaa katika kipindi cha miaka 60 ya Uhuru Waziri Ummy amesema katika kuimarisha ugatuaji wa madaraka kwa wananchi Serikali imekuwa ikisogeza huduma za kijamii kwa wananchi ambazo zimeimarika mara dufu.

Waziri Ummy ameendelea kufafanua kuwa katika kusogeza uhuduma karibu na wananchi, maeneo ya kiutawala yameongezeka kutoka Mikoa 15 ya baada ya Uhuru kutoka kwenye majimbo nane ya mwaka 1966, ambapo sasa kuna Mikoa 26   huku halmashauri zimefika 184 kutoka 45.

Amesema wakati wa Uhuru hakukuwa na Halmashauri za Majiji lakini kwa sasa kuna Halmashauri za Majiji 6, kulikuwa na Halmashauri ya Manispaa moja ya Dar –es- Salaam na sasa kuna Halmashauri za Manispaa 20, Halmashauri za Miji zilikuwa 9 na sasa Halmashauri za Miji ni 21 na Halmashauri za Wilaya zilikuwa 10 na sasa zipo Halmashauri za Wilaya 137.

Waziri Ummy  amesema hadi mwaka 2010 tulikuwa na Kata 3,952, Vijiji 10,351, Mitaa 2,650, Vitongoji 55,914. Hivi sasa kuna Tarafa 570, Kata 3,956, Vijiji 12,318, Vitongoji 64,361 na Mitaa 4,263.

Kuhusu ushamirishaji wa demokrasia na ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo, Waziri Ummy amesema  tangu Serikali za Mitaa zilivyorejeshwa mwaka 1982 chaguzi katika ngazi ya Kata, Vijiji na Mitaa na Vitongoji zimefanyika  kwa ufanisi.

Amesema kumekuwa na mwamko mkubwa wa wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo ikiwemo kuibua miradi yao  na hadi kufikia June 2021,  kuna maboma ya Zahanati  2,378 yaliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi.

Katika sekta ya elimu  Waziri Ummy amesema kwenye elimu wananchi wameanzisha ujenzi wa vyumba vya madarasa 10,300 katika Halmashauri mbalimbali na kati ya hayo Serikali ikatoa fedha ya tozo ya mawasiliano Sh bilioni 7 kwa ajili ya ukamilishaji wa vyumba vya madarasa 560.

Kuhusu usimamizi wa Rasilimali Fedha katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, Ummy alisema katika miaka 60 ya Uhuru, Halmashauri zimepiga hatua ya ongezeko la mapato ya ndani.

Katika kipindi cha miaka kumi makisio ya makusanyo ya mapato ya ndani yaliongezeka kutoka Sh 175,084,789,727 mwaka wa fedha 2010/11 hadi Sh 814,960,990,077 kwa mwaka wa fedha 2020/21, ongezeko hilo ni Sh  639,876,200,350 sawa na asilimia 365.46.

“ Aidha, makusanyo ya mapato ya ndani katika kipindi hicho yaliongezeka kutoka shilingi 158,279,374,601 mwaka 2010/11 hadi shilingi 757,054,979,113 mwaka 2020/21. Ongezeko hilo ni shilingi 598,775,604,512 sawa na asilimia 378.30. Mafanikio ya makusanyo ya mapato ya ndani yametokana na Serikali kuimarisha usimamizi wa matumizi ya mifumo ya kielektroniki.”




Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • BODI YA MIKOPO YA SERIKALI ZA MITAA KUSUKWA UPYA

    January 23, 2023
  • MAKAMU WA RAIS AWAPONGEZA DODOMA JIJI KWA UWEKEZAJI

    January 20, 2023
  • SERIKALA YASISITIZA KILA MMOJA KUTUNZA MAZINGIRA

    January 20, 2023
  • TANZANIA ITAENDELEA KUSHIRIKANA NA WADAU KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI

    January 20, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.