Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Spika Ndugai ampeleka Jafo Site

Imewekwa tar.: February 25th, 2020

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai amempeleka Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo eneo inapojengwa shule maalumu ya wasichana itakayojulikana kama Shule ya Sekondari ya Wasichana Bunge inayojengwa katika eneo la Kikombo Jijini Dodoma


Akiwa katika eneo hilo la ujenzi Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai amesema ni vyema Waziri anayehusika na uendeshaji na usimamizi wa shule akajua mapema sehemu inapojengwa na mendeleo ya ujenzi wake ili kama kuna maboresho aweze kuyatoa mapema na kufanyiwa kazi.


“Hapa tunajengwa kwa kutumia ‘Force Account’ mfumo ule ule ulioasisiwa na TAMISEMI na ramani za majengo ni zile zile za TAMISEMI ila kuna baadhi ya maeneo tumeboresha kidogo lakini hatujaenda nje ya maelekezo ya Wizara hii kuhusu ujenzi wa miundombinu ya shule” Alisema Spika Mhe. Ndugai.


Akizungumzia wazo wa kujenga shule hiyo Spika Ndugai alisema Waheshimiwa Wabunge Walifanya changisho kupitia matukio ya kijamii na wadau mbalimbali wakachangia jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 1.2 fedha hiyo ilipatikana kutoka katika sehemu ya posho za Wabunge na michango ya wadau hao.


“Lengo la awali ilikua kujenga vyoo vya mfano vya wasichana katika kila Jimbo Nchini lakini baadae tukaona tuunganishe nguvu tujenge kitu kimoja kikubwa kitakachoacha alama ya Bunge la 11 mara litakapomaliza muda wake”.


Hakika katika hili Bunge la 11 limefanya kazi ya zaida, zaidi ya ile ambayo tumeizoea na ipo Kisheria ambayo ni kutunga Sheria wakati huu tumeamua tufanya kazi ya Jamii itakayoboresha Elimu ya mtoto wa Kike wa Tanzania na tukaelekeza nguvu katika ujenzi wa shule hii ya mfano ya Wasichana alisema Spika Ndugai.


“Shule hii inayojengwa itakua na  miundombinu yote inayohitajika kwa ajili ya Shule ya Sekondari kuanzia madarasa ya kutosha, maabara, mabweni, bwalo la kisasa, vyoo, ofisi za walimu, jengo la utawala pamoja na library yenye miundombinu ya TEHAMA” aliongeza Spika Ndugai.


Aidha Spika Ndugai ameweka wazi kuwa ujenzi wa shule hiyo utakamilika Mwezi Juni, 2020 na kwa umoja wa Bunge la 11 wataikabidhi kwa Waziri wa TAMISEMI Mhe. Jafo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Joseph Magufuli.


Akizungumza akiwa katika eneo la ujenzi wa shule hiyo Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo amemshukuru Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai pamoja na Wabunge wote wa Bunge la 11 kwa michango yao na wazo lenye tija la kujenga shule maalumu ya Wasichana ya Bunge.


“Nimefarijika sana kuaona wazo hili limeanza kutekelezwa na ndoto ya Bunge la 11 sasa inaanza kutimia na kwa sababu Spika amekuja kunionyesha kuanzia leo na mimi nitakuwa napita mara kwa mara kuangalia maendeleo ya ujenzi huu ili kwa pamoja tuweze kuikamilisha ndoto hii ya Bunge letu” Alisema Jafo.


Nitahakikisha kuwa Shule hii mara inapokamilika na kukabidhiwa TAMISEMI tunapanga walimu wenye ubora na wanafunzi wenye ufaulu mzuri ili kwa pamoja waweze kuleta matokeo mazuri ya shule hii, tunakata shule hii iwe ya mfano na maalumu kwa heshima ya Bunge la 11 alisema Jafo.


“Tunataka tuienzi shule hii kwa heshima ya Bunge la 11 tutafanya kila linalowezekana kuhakikisha wanafunzi watakaosoma hapa wanafaulu kwa viwango vya juu ili shule hii iweze kuingia katika shule kumi bora za Tanzania katika matokeo ya kidato cha sita alisisitiza Jafo.


Mwisho.





Matangazo

  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • MAPEPELE AWANOA MAAFISA HABARI WA TAMISEMI, AWATAKA WAWE WAZALENDO 

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.