Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Serikali Yakabidhi Hosteli kwa Chuo Cha Mipango Dodoma

Imewekwa tar.: September 18th, 2019

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga amekabidhi majengo na eneo lililokuwa linamilikiwa na halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini.

Akiongea katika hafla fupi ya makabidhiano ya majengo na eneo hilo yaliyopo katikati ya Jiji la Dodoma eneo la barabara ya kuelekea Iringa, Mhandisi Nyamhanga amesema awali majengo hayo yalikuwa yakimilikiwa na lililokuwa Shirika la Ustawishaji wa Makao Makuu Dodoma (CDA) na baada ya kuvunjwa kwake yalikabidhiwa kwa halmashauri ya Jiji la Dodoma na Chuo cha Mipango walikuwa wapangaji katika majengo hayo.

“Chuo cha Mipango ya Maendeleo ya Maendeleo Vijijini kilikuwa kinapanga hapa na kilikuwa kinalipa gharama kubwa naambiwa zaidi ya shilingi milioni250 kwa mwaka kwa ajili ya wanafunzi kusoma, lakini sasa Serikali imeamua kwamba hosteli hii ikabidhiwe kwa chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini kilichopo Jijini Dodoma”

Makabidhiano hayo yamefanyika leo hii kwa kubadilishana hati kati ya Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga kwa niaba ya Serikali na Mkuu wa chuo cha Mipango ya Maendeleo ya Maendeleo Vijijini Profesa Hozen Mayaya.

Mhandisi Nyamhanga amemtaka Mkuu wa chuo cha Mipango ya Maendeleo ya Maendeleo Vijijini kukarabati majengo hayo lakini pia kuondoa majengo ya muda yaliyokuwa yakitumiwa kama madarasa na kujenga majengo mapya ya kudumu kwa kuwa sasa hawapangi tena na wao ndio wamiliki.

Amewataka wanafunzi wote wa chuo hicho kusoma kwa bidii na kuinua kiwango cha ufaulu lakini pia kumshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ambaye amekuwa mstari mbele na kufanya jitihada kubwa za kuboresha elimu kuanzia shule za awali, msingi, sekondari, vyuo vya ufundi na vyuo vikuu nchini.

Kwa upande wake Mkuu wa chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Profesa Hozen Mayaya ameishukuru Serikali kwa maamuzi mazuri ya kuwakabidhi majengo hayo na eneo ambalo litasaidia kuboresha miundombinu na mazingira rafiki ya kujifunzia kwani gharama za upangaji katika majengo hayo zilkuwa kubwa ambazo ni zaidi ya milioni 252 kwa mwaka.

Katika makabidhiano hayo Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma aliwakilishwa na Elihuruma Mufuruki Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi wa Jiji la Dodoma.

Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Profesa Hozen Mayaya bado kina uhitaji wa miundombinu ya majengo ya madarasa na hosteli kutokana na kudahili wanafunzi wengi kutoka mikoa karibu yote hapa nchini.

Anaandika Fred Kibano


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Msovela: Fanyeni Kazi Kama Timu Kuleta Maendeleo

    May 20, 2025
  • SERIKALI KUKAMILISHA UJENZI WA VITUO VYA AFYA.

    May 19, 2025
  • MAKATIBU TAWALA WASAIDIZI WAPEWA SOMO USIMAMIZI WA MIRADI NA USULUHISHI WA AKAUNTI

    May 19, 2025
  • Serikali kutumilia Bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni laki mbili na elfu 60 kwa miaka sita

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.