• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali

Serikali, PS.3 Wapongezwa Misungwi

Imewekwa tar.: August 2nd, 2019

Watendaji katika Halmashauri ya Misungwi mkoani Mwanza wamepongeza juhudi zilizochukuliwa na Serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI pamoja na Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma nchini PS.3, kufuatia kukamilisha uundwaji wa mfumo jumuishi wa Ufuatiliaji na Tathimini (integrated Monitoring and Evaluation System- iMES) ambao utawezesha kupata taarifa na takwimu katoka jukwaa moja.

Pongezi hizo zimekuja wakati huu ambao Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI, kwakushirikiana na Wizara za kiseta pamoja na Wadau wa Maendeleo nchini USAID, kupitia Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma nchini kukamilisha utengenezaji wa mfumo wa iMES ambao unalengo lakutatua tatizo la upatikanaji wa taarifa na takwimu kwaajili yakufanya maamuzi kwenye mipango ya maendeleo.

Akiongea wakati wa Majaribio ya Mfumo huo, Mwalimu Meshack Chaula, ambaye amekuwa kwenye dawati la takwimu katika Halmashauri ya Misungwi kwa kipindi cha Mwaka mmoja, amesema hapo awali walikuwa na kasoro ndogo ndogo za kimfumo hasa kutokana na kutokuwepo kwa jukwaa moja ambalo lingekuwezesha kuona takwimu zakutoka sekta nyingine lakini sasa iMES imekuja kutoa suluhu.

“Lazima tukiri kuwa, Serikali inafanya kazi nzuri na katika hili tunajionea kazi kubwa katika mifumo mbalimbali, sote tunajua tatizo la taarifa na takwimu katika nchi yetu,   mfano mdogo ni hapa katika Halmashauri yetu tuliletewa fedha za kukamilisha maboma ya vyumba vya madarasa mawili  kwa kila shule, lakini katika ile orodha iliyokwenda ngazi za juu zilikuwepo shule mbili hazikuwa na sifa za vyumba viwili, suala hili lilitokana na kutokuwa na dashboard moja ya taarifa, alisema Chaula.

Mbali na kupongeza, wataalam hao wanaiona iMES kuwa Mfumo utakao mrahisishia mtumaji wa taarifa pindi zinapo hitajika muda wowote, kutokana na kwamba ni   web Based system.

“Kwa iMES, unaweza kutuma taarifa hata ukiwa njiani ili mradi uwe na kifurushi cha mtandao kwenye kishkwambi au simu janja yako” anasema Chaula na kusisitiza kuwa, kuna wakati mtu anaombwa taarifa akiwa hajajiandaa, hivyo baadhi ya taarifa   zikawa zinatumwa bila usahihi kutokana kuwa na vyanzo tofauti tofauti lakini kwakuwa sasa taarifa zote zitapatikana kwenye jukwa moja ni imani yetu kukinzana kwa takwimu hakutakuwepo.

Kwa upande wake, Katibu wa Afya katika Hospitali ya Wilaya ya Misungwi bibi Swaiba Ngulugulu pamoja na kupongeza, yeye ameelekeza maombi yake kwa watengenezaji juu ya taarifa za mfumo wa DHIS-2 na mifumo mingine kama FFARS na Epicor kuvutwa katika mfumo wa iMES ili kuondoa kujirudiarudia kwa ujazaji wa takwimu, alisema  Swaiba.

“Tutafarijika kuona takwimu za Mifumo mingine zinavutwa moja kwa moja kwakuwa mambo mengi tunayo yajaza ni yale yale tu, mfano taarifa za fedha, taarifa watumishi, kwakutaja kwa uchache.” alihitimisha Swaiba.  

Mkoa wa Mwanza na Halmashauri zake za Jiji la Mwanza, Manispaa ya Ilemela na Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, zimekuwa Halmashari za mwanzo kabisa kuanza kuutumia mfumo ambapo jumla ya watumiaji 63 kutoka sekta tofauti tofauti wamewezeshwa kuanza kuutumia mfumo wa iMES.

Anaandika Atley Kuni


Matangazo

  • MAJINA YA WALIOPATA AJIRA KADA ZA AFYA NA UALIMU June 26, 2022
  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Taarifa ya Kitengo Manunuzi na Ugavi, April 2022 April 04, 2022
  • Safeguard Documents for TACTIC Project March 30, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • BASHUNGWA AWAAGIZA VIONGOZI WA MIKOA NA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA KUTANGAZA MIRADI YA MAENDELEO.

    July 02, 2022
  • Mameya, Wenyeviti wa Halmashuri watoa kongole kwa Rais Samia kuibadili Dodoma

    June 30, 2022
  • MAMEYA, WENYEVITI WA HALMASHAURI SIMAMIENI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO- PROF. SHEMDOE

    June 30, 2022
  • WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAFUNDA MAMEYA, WENYEVITI WA HALMASHAURI

    June 27, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.