Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Serikali, PS.3 Wapongezwa Misungwi

Imewekwa tar.: August 2nd, 2019

Watendaji katika Halmashauri ya Misungwi mkoani Mwanza wamepongeza juhudi zilizochukuliwa na Serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI pamoja na Mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma nchini PS.3, kufuatia kukamilisha uundwaji wa mfumo jumuishi wa Ufuatiliaji na Tathimini (integrated Monitoring and Evaluation System- iMES) ambao utawezesha kupata taarifa na takwimu katoka jukwaa moja.

Pongezi hizo zimekuja wakati huu ambao Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI, kwakushirikiana na Wizara za kiseta pamoja na Wadau wa Maendeleo nchini USAID, kupitia Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma nchini kukamilisha utengenezaji wa mfumo wa iMES ambao unalengo lakutatua tatizo la upatikanaji wa taarifa na takwimu kwaajili yakufanya maamuzi kwenye mipango ya maendeleo.

Akiongea wakati wa Majaribio ya Mfumo huo, Mwalimu Meshack Chaula, ambaye amekuwa kwenye dawati la takwimu katika Halmashauri ya Misungwi kwa kipindi cha Mwaka mmoja, amesema hapo awali walikuwa na kasoro ndogo ndogo za kimfumo hasa kutokana na kutokuwepo kwa jukwaa moja ambalo lingekuwezesha kuona takwimu zakutoka sekta nyingine lakini sasa iMES imekuja kutoa suluhu.

“Lazima tukiri kuwa, Serikali inafanya kazi nzuri na katika hili tunajionea kazi kubwa katika mifumo mbalimbali, sote tunajua tatizo la taarifa na takwimu katika nchi yetu,   mfano mdogo ni hapa katika Halmashauri yetu tuliletewa fedha za kukamilisha maboma ya vyumba vya madarasa mawili  kwa kila shule, lakini katika ile orodha iliyokwenda ngazi za juu zilikuwepo shule mbili hazikuwa na sifa za vyumba viwili, suala hili lilitokana na kutokuwa na dashboard moja ya taarifa, alisema Chaula.

Mbali na kupongeza, wataalam hao wanaiona iMES kuwa Mfumo utakao mrahisishia mtumaji wa taarifa pindi zinapo hitajika muda wowote, kutokana na kwamba ni   web Based system.

“Kwa iMES, unaweza kutuma taarifa hata ukiwa njiani ili mradi uwe na kifurushi cha mtandao kwenye kishkwambi au simu janja yako” anasema Chaula na kusisitiza kuwa, kuna wakati mtu anaombwa taarifa akiwa hajajiandaa, hivyo baadhi ya taarifa   zikawa zinatumwa bila usahihi kutokana kuwa na vyanzo tofauti tofauti lakini kwakuwa sasa taarifa zote zitapatikana kwenye jukwa moja ni imani yetu kukinzana kwa takwimu hakutakuwepo.

Kwa upande wake, Katibu wa Afya katika Hospitali ya Wilaya ya Misungwi bibi Swaiba Ngulugulu pamoja na kupongeza, yeye ameelekeza maombi yake kwa watengenezaji juu ya taarifa za mfumo wa DHIS-2 na mifumo mingine kama FFARS na Epicor kuvutwa katika mfumo wa iMES ili kuondoa kujirudiarudia kwa ujazaji wa takwimu, alisema  Swaiba.

“Tutafarijika kuona takwimu za Mifumo mingine zinavutwa moja kwa moja kwakuwa mambo mengi tunayo yajaza ni yale yale tu, mfano taarifa za fedha, taarifa watumishi, kwakutaja kwa uchache.” alihitimisha Swaiba.  

Mkoa wa Mwanza na Halmashauri zake za Jiji la Mwanza, Manispaa ya Ilemela na Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, zimekuwa Halmashari za mwanzo kabisa kuanza kuutumia mfumo ambapo jumla ya watumiaji 63 kutoka sekta tofauti tofauti wamewezeshwa kuanza kuutumia mfumo wa iMES.

Anaandika Atley Kuni


Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.