Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Serikali kuboresha waraka wa kudhibiti utoro mashuleni

Imewekwa tar.: December 13th, 2019

Mkurugenzi Msaidizi  Msingi na  uendelezaji  wa Sera, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknojia Mwalimu Yesse Kanyuma amesema Serikali ipo kwenye utaratibu wa kurekebisha waraka wa kudhibiti utoro ambao pamoja na mambo mengine utabainisha wajibu wa kila mdau.

Ameyasema hayo leo jijini hapa wakati wa kufunga Kongamano la 14 la Umoja wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSA).

Manyama amesema ili kudhibiti utoro mashuleni Serikali iko katika hatua za mwisho za kuandaa waraka ambao utatumika kudhibiti utoro wa wanafunzi.

“Tunataka kuja na mkakati wa kuhakikisha tunadhibiti utoro, hivyo tutakuja na waraka ambao utabainisha wajibu wa kila mdau katika hili na pia siku zitapunguzwa zitakuwa kidogo na hazitakuwa siku 90 tena.

Amefafanua kuwa waraka huo utaangalia ni namna gani mwalimu wa darasa, mkuu wa shule, mwalimu wa nidhamu wanaweza kutimiza wajibu wao katika suala zima la usimamizi katika suala zima la utoro katika shule.

Kanyama amesema taarifa zilizopo ni kwamba mtoto anapopotea shuleni wakati mwingine hakuna mawasiliano ya aina yoyote ile aidha, mzazi au kiongozi wa serikali eneo husika ili kujua ni tatizo gani limemsibu mwanafunzi huyu na kama mtoro katika siku zote hizo

“Kumekuwa na pengo kubwa kati ya uongozi wa shule na wazazi au walezi na mtoto mwenye, kwahiyo waraka ukiwa tayari ninyi mtakuwa wasimamizi wakuu, “ amesema Kanyuma.

Amesema suala hilo linakwenda sambamba na wakuu wa shule kuweka hai kamati za nidhamu na ushauri ili kuondoa hali ya sasa ya fukuza fukuza ya wanafunzi.

“Si lengo la Serikali kuwafukuza watoto shule, lengo la Serikali ni kuhakikisha watoto wote wanaodahiliwa wanamaliza masomo yao, kwa kuwa Serikali inapata shida pale mwalimu anapoandaa nyaraka inayotamka mtoto kufukuzwa shule, na hii inaonesha tumeshindwa kutimiza wajibu wa kufanya watoto wamalize masomo yao,” amesema Manyuma

Ameendelea kusema kuwa Serikali haipendi kutoa adhabu kwa wanafunzi ama kuwafukuza shule wanafunzi ambao ni watoro mashuleni bali inataka  utaratubu, kwa kuwa mfumo wa sasa unaotumika haujakidhi mahitaji

Hata hivyo, Kanyuma ametumia fursa hiyo kuwataka walimu wakuu kuhakikisha wanafuata sheria, kanuni na taratibu katika kuendesha shule na kuwa viongozi wazuri wanaowaongoza walimu wenzao ili kuisadia jamii inayoizunguka.

Amesema kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu kutasaidia kuleta ufanisi katika shule zao na kuondoa mlolongo wa mashauri ya walimu kwenye Tume ya utumishi wa Walimu (TAC)

“Haiwezekani mwalimu ana kwenda kinyume na taratibu, humuoni hata mara moja, hii inachangia kuchelewesha au kutotoa maamuzi sahihi katika mashauri ya utovu wa nidhamu yanapofika Tume, Msiwe waogoa katika kutoa maamuzi pale mwalimu anapoenda kinyume na utaratibu” amesema Kanyuma

Naye Kaimu Mkurugenzi Idara ya Elimu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bw. George Jilamba  ameeleza madhumuni ya kongamano hilo na kusema  kuwa  ni kuwajengea uwezo wakuu wa shule za Sekondari nchini kusimamia  sekta ya elimu katika maeneo yao na kuleta mabadiliko.



Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.