Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

OR-TAMISEMI yasisitiza ubunifu kwa elimu bora nchini

Imewekwa tar.: April 13th, 2022

Na Asila Twaha, Arusha

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Gerald Mweli amesema ili Serikali iendelee kuwekeza na kupanga mipango mizuri ya elimu nchini ni lazima watendaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa waliopewa jukumu la usimamizi wa elimu wasimamie na kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Hayo ameyasema leo Aprili 11,2022 Jijini Arusha wakati wa kufunga mafunzo elekezi ya maandalizi ya Mradi wa Lipa Kulingana na Matokeo Awamu ya Pili (EP4R) ambao lengo lake ni kuendelea kuhakikisha suala la elimu linaendelea kuwa kipaumbele nchini.

Mradi wa Lipa Kulingana na Matokeo Awamu ya Pili Naibu Katibu Mkuu Mweli amesema, ni pamoja ya upimaji wa mwenendo wa elimu nchini ambapo upunguza mdondoko wa wanafunzi.

Aidha, amewaelekeza wasimamizi wa elimu wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kufanya kazi na kuongeza ubunifu wa njia za ufundishaji kwa kuhakikisha suala la usimamizi wa elimu ni kipaumbele kwa kuweka njia nzuri katika ufundishaji wa elimu kwa ujumla.

Amefafanua kuwa,  Ofisi ya Rais - TAMISEMI haiwezi kusema inatekeleza majukumu yake bila ya kuwashukuru ninyi viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa tusimamie utendaji wetu wa kazi kwa kufanya ubunifu katika sekta ya elimu ili tutimize lengo la Serikali kwenye kuona matokeo chanya katika Sekta ya Elimu.

“Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan tunamshukuru kwa kuendelea kuweka mazingira mazuri na kwa kuendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo  kuhakikisha suala la elimu linaendele kuwa bora nchini,"amesema Mweli

Kwa upande wa Mkurugenzi wa TEHAMA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Bw. Erick Kitali amesema, Mradi wa Lipa Kulingana na Matokeo Awamu ya Pili ni kutokana na upatikanaji wa takwimu sahihi suala la elimu linaendana moja kwa moja na taarifa sahihi za wanafunzi na mahitaji ya shule.

Ametoa wito kwa viongozi hao kuhakikisha wanasimamia upatikanaji sahihi kwa kutumia mifumo sahihi ili kuwezesha Serikali kupanga maendeleo mazuri ya elimu.

“Tangu 2016 mpaka sasa takwimu zetu za elimu msingi zimekuwa ni bora sana niwaombe viongozi wenzangu tuendelee na umakini katika ujazaji wa taarifa sahihi katika mfumo wa Annual School Census na SIS ili kuwezesha upatikanaji wa takwimu sahihi,"amesema Kitali

Aidha, ametoa wito kwa viongozi hao katika ujazaji sahihi wa mfumo wa Madeni MIS ya walimu yasiyokuwa mishahara ili iwe ni rahisi kufanyiwa kazi kwa kuzingatia taarifa zilizo sahihi.

Awali mtoa mada  Afisa Elimu Mkuu, Hilda Mkandawire amesema, Mradi wa Lipa Kulingana na Matokeo Awamu ya Pili umezingatia rasilimali watu zinaelekezwa kwenye Halmshauri zenye uhitaji mkubwa ambapo amesema hii itaendelea kusaidia kutatua changamoto katika maeneo yale yanayoonekana yana changamoto kubwa ya elimu.

Aidha, mafunzo hayo yaliwashirikishwa Wakurugenzi, Makatibu Tawala Mikoa ya Ruvuma, Mtwara, Manyara, Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Njombe na Wathibiti Ubora Kanda ya Kaskazini.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Fomu za kujiunga na Kidato cha kwanza 2024 December 16, 2024
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Serikali kutumilia Bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni laki mbili na elfu 60 kwa miaka sita

    May 15, 2025
  • Naibu Katibu Mkuu Mwambene aendesha kikao kazi kati ya Serikali na Umoja wa Ulaya

    May 14, 2025
  • SERIKALI ITAENDELEA KUTOA  MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE.

    May 13, 2025
  • HALMASHAURI ZATAKIWA KUSIMAMIA ZOEZI LA USAFI WA BARABARA

    May 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.