Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

OR TAMISEMI Yafunga Mwaka kwa Vituo 300 vya Afya kukarabatiwa

Imewekwa tar.: July 3rd, 2018

Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Afya OR TAMISEMI, Dkt. Zainab Chaula amewashukuru watumishi na wananchi kote nchini kutokana na ushirikiano wanao endelea kuutoa katika zoezi la ujenzi wa vituo vya afya ambapo hadi mwaka wa fedha unakamilika Juni 30, 2018 tayari wamesha karabati vituo 300.

“Asante kwa kutembea pamoja kwa matokeo chanya, tumefunga mwaka na ukarabati wa vituo 300, awamu ya kwanza ilikuwa Mwezi Oktoba, 2017 hadi Machi tulikarabati  vituo 44 kwa fedha za Mfuko wa afya (HBF)” alinukuliwa Naibu Katibu Mkuu

Dkt Chaula alisema katika awamu ya pili iliyoanza Januari hadi Mei, 2018 jumla ya vituo 139 kutoka fedha za Benki ya Dunia ziliwezesha ukarabati na vituo 100 vilikarabatiwa kupitia mfuko wa afya (Health Basket Fund-HBF),

Chaula alifafanua kuwa katika gawio la serikali kutoka benki ya  CRDB ni vituo 39 vimefanikiwa kukarabatiwa, huku taarifa hiyo ikitanabaisha zaidi kwamba, katika awamu ya tatu jumla ya vituo 27 vinaendelea kukarabatiwa, ukarabati ulio anza mwezi Mei na unatarajiwa kukamilika mwezi Novemba, 2018.

Naibu Katibu Mkuu huyo aliongeza kuwa vituo 25 vimekarabatiwa kutoka fedha ya Mfuko wa Afya ilivyovuka mwaka 2016/17 na Vituo 2 vilitokana na fedha za DANIDA kwenye Mikoa 2 yenye Wakimbizi  ya Kigoma na Katavi.

Ameongeza kuwa katika awamu ya nne wamejipanga vilivyo kuhakikisha fedha iliyokwisha toka inafanyiwa kazi.

“Awamu ya Nne vituo vya Afya 89, Zahanati 10 , nyumba 10 za Watumishi sambamba na ukarabati wa Hospitali 5 za Wilaya, fedha yake imetoka mwishoni Mwa Mwezi wa Sita, 2018 na hizi ni fedha za LGDG”. Alisema Dkt Chaula.

Akihitimisha taarifa yake Dkt Chaula amemshukuru Waziri wa Nchi OR TAMISEMI Selemani Said Jafo (Mb) kwa ufuatiliaji na maelekezo yenye tija ya karibu kutoka kwake yeye mwenyewe pamoja na  wasaidizi wake wote, na kusema kwamba, umoja na mshikamano ndio ulio wezesha kupata fedha hizo, huku akihimiza Mamlaka zote za Serikali za Mitaa kuendelea kutumia (Force Account). Lakini pia kuzingatia muda wa majuma 20 uliowekwa katika kukamilisha kazi kulingana na muongozo.


Anaandika  Atley Kuni- OR TAMISEMI

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.