Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Mkandarasi atakiwa kuongeza kasi ya ujenzi wa barabara ya Kidabaga – Bomalang’ombe

Imewekwa tar.: December 6th, 2020

Na Angela Msimbira IRINGA

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhandisi Joseph Nyamhanga amemuagiza Mkandarasi wa ujenzi wa barabara ya Kidabaga hadi bomalang’ombe  M/S BUILDERS kuhakikisha anakamilisha ujenzi wa barabara hiyo kwa  wakati uliopangwa

Mhandisi Nyamhanga ametoa agizo hilo  leo  Disema 05,2020 kwenye ziara yake ya kikazi ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, Mkoani Iringa,

Akizungumza katika ziara hiyo amemtaka  mkandarasi huyo kutosubiri   mwezi wa nane  ufike ili kuweza kukamilisha kazi ya ujenzi wa barabara hiyo bali wakamilishe haraka kwa kuwa barabara hiyo ni  muhimu kwa wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya  Kilolo Mkoani Iringa.

“Serikali imeshatenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara hiyo, hivyo ni wajibu wa mkandarasi kuhakikisha wanaongeza kasi ya ujenzi ili iweze kukamilika kwa muda mfupi na viwango vinavyolingana na fedha iliyotumika” amesisitiza  Mhandisi Nyamhanga

Pamoja na hayo, amemuagiza Mkurugenzi wa Tarura Makao Makuu Mhandisi Victor Seif kufanya tathimini ya kina kuhusu ujenzi wa barabara hiyo ikilinganishwa na uzito wa magari yatakayopita ili kuweza kujenga barabara imara ambayo itahimili uzito wa mizigo itakayokuwa inapita.

“Yapo Magari yatakayosafirisha mazao mbalimbali  na mbao ni vyema tukajiridhisha  kabla ya kuendelea na ujenzi kwa kufanya mapitio ya usanifu ili barabara ziwe imara zaidi katika  kuhimili  uzito wa magari yatakayopita” Amesema Mhandisi Nyamhanga

Aidha amewaagiza viongozi wa Mkoa wa Iringa kuhakikisha wanasimami kwa karibu ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo, kwa kuhakikisha inakamilika ndani ya muda uliopangwa kwa kuzingatia ubora unaotakiwa.

Naye  Mratibu wa Tarura Mkoa wa Iringa Mhandisi Makori Kisare amesema ujenzi wa barabara ya Kidabaga – Bomalang’ombe yenye urefu wa kilometa 18.3 ni ya kiwango cha lami na itagharimu zaidi ya shilingi  bilioni 8.167

Amesema kuwa ujenzi huo umefadhiliwa na jumuiya ya ulaya chini ya program ya Agri connect ambao unatekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo na Mufindi.

Aidha lengo la Ujenzi wa barabara hiyo ni kuwawezesha wakulima wa chai, kahawa na mbogamboga kuweza kusafirisha mazao yao kwa urahisi ili kujiongezea kipato na kukuza uchumi wa Mkoa na taifa kwa ujumla.

Wakati huohuo Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa Happiness Semeda  amesema kuwa barabara hiyo ni muhimu katika kukuza uchumi  wa Mkoa wa Iringa na utasaidia wananchi kusafirisha mazao yao kwa urahisi.Pia amesisitiza kuwa miradi hiyo imeibuliwa na wananchi katika kutoa vipaombele vyao katika Halmashauri.



Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.