Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Mhandisi Nyamhanga atoa miezi mitatu kukamilika kwa jengo la upasuaji, Kilolo

Imewekwa tar.: December 5th, 2020

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhandisi Joseph Nyamhanga ametoa miezi mitatu kwa Mkandarasi PACHA Building construction kukamilisha ujenzi wa Jengo la Upasuaji ifikapo Februari, 2021

Mhandisi Nyamhanga ameyasema hayo leo wakati alipotembelea Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri ya hiyo Mkoani Iringa.

Amesema kuwa Hospitali hiyo kwa sasa imekamilika na imeanza kutoa huduma za wagonjwa wa nje, lakini bado kuna baadhi ya majengo ambayo ujenzi wake haujakamilika jambo ambalo linarudisha nyuma juhudi za Serikali za kuhakikisha huduma zote za afya zinapatikana karibu na wananchi

Akifafanua zaidi amesema kuwa mkadarasi huyo aliwasilisha hati za malipo tatu na tayari Serikali ilishalipa hati mbili, hivyo anawajibu wa kuhakikisha Jengo hilo linakamilika kwa wakati uliopangwa ili lianze kutoa huduma kwa jamii.

“Hakuna sababu ya mkandarasi kusimamisha ujenzi, kwa kuwa serikali imeshalipa baadhi ya fedha, naagiza mkandarasi Pacha Buildingi Construction kuhakikisha anamaliza ujenzi ili wananchi wa Kilolo waweze kupata huduma ya upasuaji katika Hospitali hiyo” amesisitiza Mhandisi Nyamhanga

Wakati huo Mhandisi Nyamhanga Aidha. ameuagiza  uongozi  wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kuhakikisha wanasimamia kikamilifu   ujenzi wa  majengo yaliyobaki  katika  Hospitali ya Wilaya ya Kilolo ili iweze kutoa huduma  kwa jamii.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Kituo hicho Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo  Dkt Mohamed Manguna  amesema  mradi umegarimu zaidi ya shilingi  bilioni 4.3 ambapo Serikali imetoa  zaidi ya shilingi bilioni 4, wadau wa maendeleo shilingi milioni 37 na  zaidi ya shilingi  milioni 336  zimetolewa  na Halmashauri hiyo  kutoka katika mapato ya ndani.

Aidha, Dkt. Manguna  amesema kuwa kukamilika  kwa ujenzi  wa Hospitali  hiyo kutawezesha   Halmashauri kukabiliana  na magonjwa  ya kuambukiza, kupunguza  kiwango cha magonjwa  na vifo vya watoto wachanga na vifo vya mama wajawazito  kupunguza uhitaji mkubwa wa huduma za rufaa  hasa kwa akinamama wajawazito na watoto  na  kukabiliana  na uhitaji  mkubwa  wa huduma za dharura za upasuaji Mkubwa na mdogo unaotokana na ajali  za vyombo vya moto.


Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.