Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Mbulu Nimewaelewa, Mko Vizuri

Imewekwa tar.: September 13th, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amepongeza Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbuyu kwa usimamizi makini wa   ujenzi wa Hospital ya Wilaya  inayoendelea kujengwa katika kata ya Dongobesh.

Waziri Jafo ametoa pongezi hizo baada ya kutembelea eneo linapojengwa Hospital ya Wilaya na kuridhishwa na  hatua iliyofikiwa katika ujenzi huo ukiacholia mbali changamoto walizokutana nazo wakati wa ujenzi.

Hakina Mbulu nimewaelewa Hospital ya Wilaya inavutia mmejenga majengo mazuri yenye ubora unaotakiwa na mmezingatia maagizo tuliyotoa katoka ujenzi wa hospital hizi za Wilaya

Mmenifurahisha ingawa majengo yenu hayajakamilika lakini nimeziskia  changamoto mzilokutana nazo na namna mlivyokabiliana nazo kwa sababu hazikua kikwazo cha kukwamisha kazi hii mmeweza kuzitatua na ujenzi ukaendelea kama kawaida.

“Mbulu mmewapita hata Halmashauri zingine ambazo hawakuwa na changamoto zozote nyie mmekabiliana na changamoto za kutosha lakini bado kazi yenu imekua nzuri na inayopendeza hongereni sana na muendelee na kazi hii nzuri kwenye miradi mingine” Alisema Jafo.

Pia Waziri Jafo amempongeza Mbunge wa Halmashauri ya Mbulu Mhe. Flatei Massay  kwa jitihada zake anazozifanya za kutetea wananchi na kuhakikisha wanapata miradi ya maendeleo.

Mbunge wenu anawapenda sana watu wa Mbulu anapambana kuhakikisha miradi mingi ya maendeleo inawafikia wananchi wake na kuleta maendeleo katika Jimbo la Mbulu Vijijini alisema Jafo.

Msidhani kuwa miradi hii imekuja  kwenu kwa bahati tu kuna jitihda kubwa zimefanyika mpaka mkapata fedha za ujenzi wa Jengo la Halmashauri, mkajengewa  kituo cha Afya Dongobesh na zadi mkapata tena Tsh Bil 1.5 kwa ajili ya ujenzi wa hospital za Wilaya  hii ni miradi mingi sana kwa Halmashauri moja kuipata katika kipindi chwa mwaka mmoja wa fedha.


Naye Mkuu wa Wilaya ya Mbuli Mhe. Chelestino Mofugo  amesema pamoja na changamoto walizokutana nazo wakati wa ujenzi, Wananchi wa Dongobesh wametoa ushirikiano wa kutosha  wakati wote wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo.


“Mhe. Waziri Jafo napenda ufahamu kuwa wananchi wa Dongobesh ndio waliotupa hili eneo bure kabisa kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya Wilayah ii inaonyesha utayari wa hali ya juu ya wananchi hawa kuipokea Halmashauri ya Wilaya kuhamia katika eneo hili na hili limetusaidia sana katika kufanikisha ujenzi wa hospital yetu hii unayoiona” alisema Mhe. Mofugo.


Akisoma Taarifa ya ujenzi wa Hospital ya Wilaya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbulu Hudson Kamoga alisema changamoto kubwa liyokutana nayo wakati wa kuanza ujenzi ni pamoja ni miamba migumo ya eneo la hospital pamoja na kuwa na maeneo oevu ambayo kwa kiasi kikubwa yalirudisha nyumba kasi ya ujenzi.


“Hii changamoto ya kukutana na mwamba mgumu ilitulazimu kutafuta milipuko na wataalam wa kuilipua ili kutoa huo mwamba lakini tulijitahidi kadiri ya uwezo wetu kulifanyia kazi kwa haraka na kufanikiwa kuondoa mwamba huo kisha ujenzi ukaendelea” alisema Kamoga.


Pia Kamoga aliotoa ombi maalumu kwa Waziri Jafo kuwa wanaomba kupatiwa Mhandisi wa Halmashauri au mafunzi mchundo ili awasaidie katika kusimamia miradi ya ujenzi kwa kuwa aliyepo sasa anazidiwa na kazi na endapo inatokea anapata dharura kazi zote za ujenzi zinasimama kwa muda kusubiri amalize dharura yake ili ahakiki ubora wa kazi.


Ujenzi wa hospital ya Wilaya ya Mbulu umefikia asilimia 80 na ni moja wapo ya hospital za Wilaya 67 zinazoendelea kujengwa Nchi Nzima.


Mwisho.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Msovela: Fanyeni Kazi Kama Timu Kuleta Maendeleo

    May 20, 2025
  • SERIKALI KUKAMILISHA UJENZI WA VITUO VYA AFYA.

    May 19, 2025
  • MAKATIBU TAWALA WASAIDIZI WAPEWA SOMO USIMAMIZI WA MIRADI NA USULUHISHI WA AKAUNTI

    May 19, 2025
  • Serikali kutumilia Bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni laki mbili na elfu 60 kwa miaka sita

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.