• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
    • Ramani za mradi wa BOOST
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Maafisa elimu nchini watakiwa kufanyakazi kwa ushirikiano

Imewekwa tar.: August 22nd, 2019

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Tixon Nzunda amewaagiza Maafisa elimu Maalum na watu wazima kufanyakazi kwa ushirikiano ili kuendana na dira ya nchi inayotaka kuandaa jamii ya watu walioelimika wenye maarifa na   ujuzi  

Ameyasema hayo wakati akifunga Kikao kazi cha Maafisa elimu Mkoa, Maafisa elimu Maalum na Maafisa Elimu watu wazima, kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Mipango, Jijini Dodoma.

Nzunda amesema kuwa hatuwezi  kujenga nchi yenye uchumi wa viwanda na watu wanaoweza kushindana  bila kuwa na watu wenye maarifa sahihi, ujuzi kamili, kujiamini, wazalendo na wanaoipenda nchi yao  kwa ajili ya kuleta mabadiliko ya kweli  na maendeleo  katika mapinduzi ya viwanda.

Amesema Sekta ya elimu ni kubwa hivyo amewaomba kujenga mshikamano, kufanyakazi kama timu  na kusaidiana kwa hali na mali ili kuleta mabadiliko katika sekta ya elimu kwa kuisaidia jamii kuona umuhimu wa elimu nchini

“Acheni majungu mafanikio ya idara yawe ni ya kila mmoja, msitengeneze makundi ndani ya Idara na ndani ya sekta kwa kuwa sekta ya elimu ni mafanikio ya Taifa, watu walioelimuka, wanaojiamini wenye maarifa, ujuzi na wanaoweza kujiamini” Anasisitiza Nzunda

Amesema kuwa katika kuleta maendeleo ya elimu nchini ni lazima kufanyakazi kwa umoja na upendo kwani bila kufanya hivyo hakutakuwa na mabadiliko na kutarudisha nyuma juhudi za Serikali katika kuleta maendeleo kwa jamii na kupunguza changamoto katika sekta ya elimu nchini.

Amewataka Maafisa elimu nchini kuhakikisha wanasimamia taaluma kuanzia ngazi ya awali, msingi, sekondari na watu wenye mahitaji maalum kwa kusimia mitaala wa elimu nchini  na kuhakikisha maafisa elimu  kata wanatimiza majukumu yao kikamilifu ili kuimarisha elimu kuanzia ngazi ya  awali.

Aidha amewataka kuhakikisha wanasimamia  utendaji kazi wa watumishi, utunzaji wa siri na uwajibikaji ili kujenga nidhamu kwa watu tunaowasimamia .

Na. Angela Msimbira OR -TAMISEMI

Matangazo

  • Majina ya waliopata vibali vya Uhamisho wa Kawaida na Kubadilishana (Januari - Julai 2023) October 14, 2023
  • DMDP Documents October 12, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGIWA SHULE CHAGUO PILI MWAKA, 2023 October 04, 2023
  • TANGAZO LA KUTWA KAZINI September 13, 2023
  • Terms of Reference TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS PROJECT (TACTIC) September 01, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA MPYA 2023 AWAMU YA PILI August 30, 2023
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MAAFISA TARAFA NA KATA IJUENI NA MUISIMAMIE MIRADI YA MAENDELEO

    November 26, 2023
  • WATENDAJI WA KATA NA MAAFISA TARAFA MSIKWEPE MAJUKUMU YENU-MHE MURAGILI

    November 23, 2023
  • SERIKALI YAZINDUA MWONGOZO WA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI

    November 17, 2023
  • UINGEREZA YATOA MAGARI KWA TAMISEMI NA WIZARA YA ELIMU

    November 17, 2023
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.