Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Kakunda Awataka Wakurugenzi na Wakuu wa Wilaya Wapya kuacha Mivutano

Imewekwa tar.: October 9th, 2018

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) anayeshughulikia ELIMU Joseph Kakunda amefungua rasmi mafunzo kwa Wakurugenzi wapya wa Halmashauri na Wakuu wapya wa Wilaya walioteuliwa na Mhe. Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli hivi karibuni Jijini Dodoma leo.

Kakunda amewataka Viongozi hao kutambua kuwa wao ni tegemeo kubwa katika utekelezaji wa Sera za Serikali hivyo ni muhimu kujua wajibu wao, hasa kwa kuhimiza ushirikiano kwenye utekelezaji wa shughuli zinazolenga kuhudumua wananchi hapa nchini.

Aidha amewaagiza Viongozi hao kusimamia vyema suala la mimba za utotoni kwa kuwashughulikia wale wote wanaowaozesha na kuwapa mimba wanafunzi pamoja na kudhibiti utoro mashuleni.

Kakunda amewakumbusha pia kutumia busara katika kudhibiti migogoro kati ya wakulima na wafugaji katika maeneo yao kwa kutumia nidhamu na haki lakini pia kusimamia mapato na kudhibiti fedha za Umma, kusimamia vyema amani na utulivu pamoja na kufanya kazi bila mivutano katika maeneo yao ya kazi.

Katika hatua nyingine ameipongeza Taasisi ya Uongozi ambayo dhima yake ni kuimarisha viongozi wa afrika ili matokeo ya uongozi wao yawapatie majibu endelevu dhidi ya changamoto mbalimbali zinazowakabili Watanzania.

“tangu ianzishwe taasisi hii ya uongozi imetoa mchango mkubwa kwa serikali kwa kutoa mafunzo  kwa viongozi wa ngazi mbalimbali” alisema Kakunda.


Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu (AFYA) Ofisi ya Rais - TAMISEMI Dkt. Zainab Chaula amewataka Viongozi hao kutekeleza majukumu yao kwa kufuata Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

“naamini kila mtu alikabidhiwa ilani, yale ni mafunzo tosha kama kila mmoja atayasoma na kuyazingatia”alisema Dkt Chaula.

Naye Kaimu Mkurugrenzi Mtendaji wa Taasisi ya Uongozi Kadeli Singo amesema tathmini iliyofanyika mwezi juni mwaka 2018 imeonyesha mafunzo hayo yamekua na manufaa makubwa kwa Viongozi waliohudhuria na kuleta tija katika kazi zao.

Mafunzo ya Uongozi kwa Awamu ya Tano yanayotolewa na Taasisi ya Uongozi ni mwendelezo wa mafunzo kwa Viongozi wapya ambao huteuliwa na Mamlaka mbalimbali ikiwa ni pamoja na Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa.


         Anaandika Magdalena Dyauli na Fred Kibano

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.