• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Kaaya awahimiza Vijana kujiajiri kupitia kilimo

Imewekwa tar.: October 16th, 2019

VIJANA wakiwamo wanafunzi wa sekondari wametakiwa kukitumia kituo cha kilimo, taaluma na mawasiliano kilichopo Mpwapwa Mkoani Dodoma kupata ujuzi wa kilimo cha mbogamboga na maua ili waweze kuondokana na tatizo la ajira.

Wito huo ulitolewa jana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Nchini (ALAT),  Elirehema Kaaya alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya miradi inayotekelezwa kupitia Mradi wa kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji (LIC) inayotoekelezwa katika Halmashauri za Mikoa ya Dodoma na Kigoma kwa ushirikiano baina ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  na Ubalozi wa Dernmark.

Kaaya amesema kuna haja ya wazazi ,walezi na walimu kupeleka Watoto wao katika kituo hicho cha kilimo ili waweze kujifunza na kujikwamua  kiuchumi mara baada ya kumaliza masomo yao  na kuleta maendeleo kwa jamii inayowazunguka.

 “Ni vyema kwa vijana wakiwemo wale waliokuwa sekondari kutumia kituo hiki kujifunza ili wanapomaliza masomo yao wakiwa wanasubiri matokeo basi watumie ujuzi kujishughulisha na kilimo na kama hawataendelea na masomo basi waendelee na hii itapunguza malalamiko ya kukosa ajira. Watanzania wanatakiwa kujua hakuna ajira inayozidi kilimo cha aina hii, hii elimu wanayopata hapa wakaifanye wakati wanasubiri matokeo ya kuendelea na elimu ya juu,”Amesema Kaaya.

Kaaya ameeleza uboreshaji wa kitua hicho umetumia zaidi ya Sh milioni 150 na Halmashauri ya Wilaya ya Mpwawa milioni 90 kwa ajili ya kuandaa kitalu, kutoa mafunzo kwa nguvu kazi ambapo wakulima wamepata elimu hiyo.

Kaaya amesema kumekuwa na mwamko mdogo wa vijana kuchangamkia mafunzo yanayotolewa na kituo hicho na wengine kuona kama kilimo ni utumwa wakati kinaweza kuwakwamua kiuchumi.

Hata hivyo, Kaaya ameagiza kujengwa kwa mfumo wa kuvuna maji ya mvua kwenye majengo ya kituo hicho ili kukabiliana na upungufu wa maji kwenye eneo hilo na kutengeneza uzio wa asili kama michongoma.

“Nimejulishwa kuwapo kwa kutokuwa na maji ya kutosha, uzio na kutokuwa na nguvu kazi wakihitajika vibarua hawapatikani, lakini kunachangamoto zingine tunapaswa tuzibadili kuwa fursa, mfano tunaweza kujenga uzio wa michongoma na pia kuweka mifumo ya kuvuna maji,”Amesema.

Aidha, Kaaya ametoa wito kwa Halmashauri nchini, jamii na taasisi zikiwemo shule, hospitali na ofisi mbalimbali kuweka mifumo ya uvunaji maji ya mvua ambayi yatatumika kutumika kwa shughuli nyingine ikiwemo usafi na umwagiliaji.

Awali, akitoa taarifa ya kituo hicho, Mkuu kituo cha Kilimo, Taaluma na Mawasiliano Kibakwe, Samson German amesema kituo hicho kinatoa huduma za kilimo na mifugo kwa wakulima katika eneo husika.

Aidha, amesema mpaka sasa kituo kimetoa elimu kwa vitendo kwa wanafunzi 30 wa mafunzo ya ujuzi waliotoka chuo cha kilimo na mifugo Visele Mpwapwa, pia wakulima 60 kutoka vijiji vya Kibakwe, Iyenge na Chamtumile juu ya kanuni za kilimo bora cha mbogamboga ili kuboresha lishe na kuongeza kipato.

Na Angela Msimbira OR-TAMISEMI



Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.