Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Jafo akerwa na ujenzi wa Hospitali ya wilaya ya Mwanga

Imewekwa tar.: July 8th, 2020


Angela Msimbira   MWANGA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo  amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga kuahakikisha wanakamilisha ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Mwanga  ifikapo tarehe 15 Augusti, 2020

Ametoa agizo hilo leo wakati  akiwa kwenye ziara ya kukagua  miradi ya maendeleo inayotekelezwa  katika Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga , Mkoani Kilimanjaro.

Mhe. Jafo anafafanua  Serikali imeetoa fedha kiasi cha shilingi milioni 400 lakini viongozi wa Halmashauri hiyo  wanashindwa kusimamia ujenzi wa Hospitali hiyo ambayo ingewasaidia wananchi maskini , suala hili ni kinyume kabisa na utaratibu..

“Nimekerwa sana na Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga , kwa kutokuwa makini katika suala la usimamizi wa miradi ya maendeleo ikiwemo kusuasua kwa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Mwanga,” amesisitiza Mhe. Jafo

Amesema kuwa wananchi wanalalamika kuhusu ujenzi wa miundombinu ya afya, lakini bado viongozi wa Halmashauri hiyo wanakosa umakini wa kusimamia ujenzi wa Hospitali hiyo jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo  na juhudi za Serikali za kusogeza huduma za afya kwa jamii

Mhe Jafo amehoji  kuwa kuna Halmashauri ambazo zipo kwenye mazingira  magumu lakini wameweza kukamilisha ujenzi kwa wakati  iweje Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga isikamilishe ni niuzembe uliopitiliza.

“Mkurugenzi nakuagiza hadi kufikia tarehe 15/08/2020 hakikisha ujenzi umekamilika, mimi sihitaji watu wazembe katika suala zima la utekelezaji wa majukumu”Amesisitiza Mhe. Jafo

Amesema Wananchi wanahitaji huduma bora za afya na si suala la uzembe wa baadhi ya viongozi ambao hawatimizi majukumu yao waliopatiwa dhamana ya kutoa huduma bora kwa wananchi maskini.

Akitoa taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Hospitali hiyo Mganga Mkuu wa Wilaya  Dkt. Abdul Msuya amesema Serikali ilitoa fedha za ujenzi  Novemba, 2019  ambapo majengo yanayojengwa mpaka sasa ni  jengo la wazazi na jengo la upasuaji.

Awali Mhe. Jafo alikagua ujenzi wa Shule Kongwe  ya Sekondari Same kwa lengo la kukagua  maendeleo ya ukarabati wa miundombinu ya shule hiyo na kuushukuru uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro kwa usiamizi mzuri wa ukarabati wa shule hiyo kongwe.




Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.