Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Dmdp yaleta mabadiliko Jijini Dar es Salaam

Imewekwa tar.: October 30th, 2018

Wakati utekelezaji wa mradi wa Uendelezaji wa Jiji la Dar es salaam(Dmdp) ukiwa umefikia nusu katika awamu ya kwanza 2015/16-2020/21 mafanikio yameanza kuonekana kwa kiasi kikubwa ambayo moja kwa moja yanampunguzia changamoto mwananchi wa Dar es salaam.

Akizungumza katika kikao cha mapatio ya utekelezaji wa mradi kinachoendelea JIjini Dar es salaam Mratibu wa miradi inayofadhiliwa na Benki ya Dunia chini ya Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandishi Davis Shemangale amesema kwa kipindi cha miaka takribani mitatu ya utekelezaji wa mradi huu umetekelezwa kwa mafanikio kwa kuwa malengo yaliyowekwa yamefikiwa.  

Shemangale amesema kuwa kupitia mradi huu baadhi ya mitaa sasa inaweza kuwasiliana kwa urahisi zaidi kwa kuwa imeunganishwa na mtandao mzuri wa barabara, foleni zinaendelea kupungua sababu barabara za mrisho zimetengenezwa na zinapitika kwa urahisi, mfumo wa mawasiliano umeboreshwa na usalama wa mitaa umeimarishwa kwa barabara zote zilizojengwa kupitia mradi kuwekwa na Taa.

“Mradi huu ukiwa unaakisi Mpango wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umasikini umeweza kutoa ajira za moja kwa moja kwa wakazi wa Jiji hili kupitia shughuli mbalimbali za mradi zinazoendelea na pia kutengeneza mazingira bora na rafiki kwa wananchi kuweza kujiajiri na kujipatia kipato alisema Shemangale”.

Aliongeza kuwa mradi umefanikiwa kujenga madaraja, vivuko, kingo za mito, pamoja na mifereji ya  kusafirishia mvua kwa kiasi kikubwa imeweza kupunguza athari za mafuko katika baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es saalam.

Aidha Mhandishi Shemangale alizungumzia malipo ya fidia kwa wananchi walioathirika na mradi katika Manispaa za Ilala na Kinondoni kuwa Wizara ya Fedha na Mipango imekwisha hakiki madai hayo na  wakati wowote waathirika watalipwa fidia.


Msimamizi Kiongozi  wa DMDP toka Benki ya Dunia Erick Dickson amesema amejionea mwenyewe mafaniko ya mradi na faida zinazopatokana lakini pia amesisitiza zaidi  kuzingatia zile athari zinazoweza kutoka wakati wa utekelezaji wa mradi na kujali muda ili kazi zote za mradi ziweze kutekelezwa kwa ubora unaotakiwa.

Mradi wa DMDP, unatekelezwa na Serikali katika Halmashauri tatu za Ilala, Temeke na Kinondoni ili kukabiliana na changamoto ya ubovu wa miundombinu.

Benki ya Dunia imetoa mkopo nafuu kwa Serikali wa USD 300 Milioni ambazo ni takribani Tsh. Bil 660 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu na Shirika la Maendeleo la Nchi za Nodric  limetoa  USD  Mil. Tano (5) ambazo ni ruzuku  kwa Serikali kwa ajili ya kukabiliana na mabadiliko ya Tabia ya Nchi.

Aidha Serikali ya Uingereza kupitia Shirika la Maendeleo la “DFID” limechangia ruzuku ya USD Mil. 20  katika kuboresha Bonde la Mto Msimbazi chini ya  Mpango wa ‘Tanzania Urban Resilience Programme’.

Serikali ya Tanzaia  inachangia Dola milioni 25.20 kwa ajili ya kulipa fidia kwa wakazi watakaoathirika na mradi huo.

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.