Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Dar yaanza kwa kishindo michuano ya UMISSETA

Imewekwa tar.: June 21st, 2021

Dar yaanza kwa kishindo michuano ya UMISSETA

Na Mathew Kwembe, Mtwara

Timu ya soka ya wavulana kutoka mkoa wa Dar es salaam imeyaanza kwa kishindo michuano ya UMISSETA mwaka huu baada ya kuinyuka timu ya soka kutoka mkoa wa Kigoma kwa magoli 2-0 katika mchezo mkali na wa kusisimua uliofanyika leo katika uwanja wa Chuo cha Ualimu Mtwara.

Magoli ya washindi  katika mchezo huo yamefungwa na washambuliaji machachari wa Dar es salaam Juma Ahmad na Ibrahim Hussein.

Nyota wa mchezo huo alikuwa ni kiungo wa Dar es salaam Ahmad Said ambaye mara kwa mara amekuwa akiisumbua ngome ya timu ya kigoma iliyokuwa ikiongozwa na beki wao mahili Ally Kassim.

Akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mchezo huo kocha wa timu ya Dar es salaam Abel Mtweve amesema vijana wake wamecheza vizuri kutokana na maandalizi waliyoyafanya kabla ya kuanza mashindano hayo.

Mtweve ambaye pia ni Mwalimu kutoka shule ya sekondari ya Kibasila ya jijini Dar es salaam amejigamba kulichukua kombe hilo kama walivyofanya wadogo zao wa UMITASHUMTA.

Kwa upande wake kocha wa timu ya soka ya mkoa wa Kigoma Waziri Mbugi amesema vijana walijitahidi katika mchezo huo ili kurudisha magoli lakini walizidiwa kimbinu na Dar es saalam kwani wapinzani wake hao waliweka mtu mmoja kati mwenye spidi kubwa ya kukimbia na mpira na hivyo kushindwa kurejesha magoli hayo.

Mbugi ambaye anafundisha shule ya sekondari Buhanda huko Kigoma ameahidi kufanya vizuri katika michezo yao inayofuata kwani mkoa wa Kigoma una vipaji vingi vya soka.

Katika matokeo mengine ya mechi za ufunguzi wa michuano hiyo mabingwa watetezi wa soka kutoka mkoa wa Ruvuma wamelazimishwa sare na Pwani ya magoli 1-1, Morogoro imefungwa na Katavi magoli 2-0, Kilimanjaro imeichapa Mbeya magoli 2-0,

Matokeo mengine kwa soka wavulana yanaonyesha Rukwa na Mwanza wametoka sare ya bila kufungana, Singida imefungwa na Manyara 1-0 na Geita imefungwa na Kagera goli 1-0, Lindi imechapwa na Simiyu magoli 1-2, Pemba na Mtwara 0-0 na Unguja na Tanga 1-1

Katika mchezo wa mpira wa Netiboli, Dar imeichapa Mbeya 22-11, Mwanza imeibugiza Lindi magoli 48-2, Morogoro imefungwa na Geita 42-18 na Mara imeichakaza Tanga 21-5.

Katika mchezo wa mpira wa wavu Lindi imefungwa na Tabora kwa seti 1-3, Simiyu nayo imechapwa na Mbeya kwa seti 0-3, Tanga imeifunga Singida seti 3-0 na Kilimanjaro imeitoa jasho Songwe kwa kuifunga seti 3-0.

Kwa upande wa matokeo ya mpira wa kikapu kwa wavulana Morogoro imeifunga Pemba 84-61, Unguja imepata vikapu 48 dhidi ya 30 vya Tanga,

Matokeo mengine ya mechi za ufunguzi wa UMISSETA kwa  mpira wa wavu wavulana Tabora imeifunga Tanga seti 3- 0, Mbeya imeifunga Rukwa 3-0, Mara imeichapa Manyara seti 3-0 na mchezo kati ya Dar es salaam na Iringa umeahirishwa kutokana na giza.

Kwa upande wa mpira wa mikono matokeo Morogoro 11 Dodoma 3, Mara 10 Unguja 30 na kwa timu za wasichana mpira mikono Simiyu 5 Shinyanga 9, Tanga 40 Iringa 8, Songwe 39 Kigoma 3.

Matangazo

  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • MAPEPELE AWANOA MAAFISA HABARI WA TAMISEMI, AWATAKA WAWE WAZALENDO 

    May 26, 2025
  • MAHUSIANO MAZURI  NI NGUZO MUHIMU KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU-MHE.SAGINI

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.