• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali

Ajenda Upimaji maeneo ya Shule sasa basi-Serikali

Imewekwa tar.: December 21st, 2020

Serikali imesema ajenda kuu katika mwaka wa 2021 ni upimaji wa maeneo yote ya shule na kuyapatia hati miliki ili kuepusha migogoro na migongano ya mara kwa mara baina ya jamii na uongozi wa shule.

Akifungua Mkutano wa Mkuu wa 15 Umoja wa Wakuu wa Shule za Sekondari nchini (TAHOSSA), Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Selemani Jafo amesema, amesiki kilio na malalamiko ya umoja huo juu ya maeneo mengi ya Viwanja vya shule kutopimwa na kufanya wananchi kuvamia bila utaratibu, hivyo ajenda kuu katika mwaka wa 2021 ni kuhakikisha maeneo yote yanapimwa na kumilikishwa kwa taasisi hizo za serikali.

“Nawaagiza Wakurugenzi wote nchini, hili suala la upimaji sasa lifikie mwisho, leo ni tarehe 21 Desemba, 2020 ifikapo mwakani tarehe kama ya leo suala hili tusingependa kulisikia tena, kama ni wataalam wa ardhi wapo kila Halmashauri hivyo basi Wakurugenzi wawasimamie ili kukamilisha zoezi hili muhimu” amesema Mhe. Jafo

Katika hatua nyingine Mhe. Jafo amesema, Serikali inayo nia ya dhati yakuhakikisha Watoto wa kitanzania wanapata elimu bora kwakuwaboreshea mazingira bora ya kujifunza na kusomea, kwani kila mwezi fedha zinazo tolewa  kwaajili ya elimu bila malipo zimefikia bilioni 24, ametaja kuwa hayo ni mafanikia makubwa, huku akisema serikali pia imetenga  bilioni 68 kwenye bajeti katika mwaka wa fedha   2020/21, kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 2,088 kwa shule za Msingi na shilingi 103,984,000 kwa ajili ya umaliziaji wa vyumba vya maabara vilivyojengwa kwa nguvu za wananchi.

Waziri Jafo amewahakikishiwa wajumbe hao kuwa, ifikapo Juni, 2021, shule zote Kongwe 89 zinazokarabatiwa zitakuwa zimekamilika na kuonekana mpya na kwamba, hadi sasa kuna jumla ya shule 73 zilizokwisha kukamilika na ukarabati unaendelea kwenye shule 13 kati ya 16 ambazo nazo zitakarabatiwa kulingana na ratiba ya kazi hiyo. “Lengo letu ni kuimarisha mazingira ya kufundisha na kujifunzia amesisitiza Waziri Jafo.

Akitoa salaam za Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia elimu, Gerald Mweli alisema, Serikali imefanya mapinduzi Makubwa katika sekta ya elimu ikiwepo matumizi ya TEHAMA.

“Kwa sasa unaweza kukaa Ofini kwako na ukapata idadi ya kamili ya wanafunzi kupitia mfumo wa (School Information System-SIS) kwakuwa ni mfumo unao kusanya takwimu za kila siku na kuzichakata kwa ajili ya matumizi”.  Amesema Mweli na kuongeza kuwa ili Shule iweze kupata Fedha  PREM ni lazima uwekaji na utunzwaji wa takwimu kupitia mfumo huo ziwe madhubuti.

Awali akitoa salamu za Umoja huo Rais wa TAHOSSA Taifa, Frank Yesaya alimkumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa ushindi wa kishindo wa asilimia 84 huku akiahidi kwa niaba ya Umoja huo, kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali zakumkomboa mtoto wa kitanzania kwa kumpatia elimu iliyo bora.

“Mhe. Waziri tukuhakikishie kwamba, Umoja huu upo tayari kushikiana na Serikali wkati wote na salam hizi tunaomba zimfikie Mhe. Rais, mwambie tunaunga mkono juhudi za Serikali chini ya uongozi wake, kwakuwa ni Rais mwenye maono na moyo wa kizalendo kwa nchi yake” amesema Rais wa TAHOSSA.

Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania, ambao ni Mkutano wa 15, umefanyika jijini Dodoma ukiwa na kauli mbiu,Elimu bora kwa uimarishaji wa uchumi wa kati


Na Atley Kuni-TAMISEMI, Dodoma

Matangazo

  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Taarifa ya Kitengo Manunuzi na Ugavi, April 2022 April 04, 2022
  • Safeguard Documents for TACTIC Project March 30, 2022
  • Miongozo ya Operesheni Anwani za Makazi March 24, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • SOMO LA TEHEMA LIMERAHISISHA UTOAJI WA ELIMU MASHULENI KUPITIA MEWAKA

    May 19, 2022
  • Bashungwa apongeza ongezeko la Mishahara kwa watumishi nchini

    May 18, 2022
  • WALIMU WAMEIOMBA SERIKALI KUENDELEA NA MAFUNZO YA MEWAKA

    May 17, 2022
  • BASHUNGWA ATOA SIKU 30 TARURA KUFANYA USANIFU WA BARABARA YA SUCA - GOLANI ILI IWEKEWE LAMI.

    May 14, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.