Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Waziri Jafo: Tutaendelea kufanyakazi kwa kasi

Imewekwa tar.: December 10th, 2020


Na. Angela Msimbira DODOMA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Selemani Jafo amesema kwa sasa TAMISEMI  itafanyakazi  kwa kasi   ya  kushambulia na kufuatilia ili kufukia mapungufu yaliyopo  katika utendaji kazi.

Akiongea na Menejimenti ya Ofisi hiyo leo  Jafo amewataka watumishi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha wanafanyakazi kwa weledi hasa katika kutoa huduma kwa jamii ili kupunguza kero mbalimbali zinazotolewa na wananchi

Amewataka watumishi wote kujenga mahusinao mazuri katika kazi ili kuleta mabadiliko kwa jamii na kufikia malengo ya Serikali katika kutoa huduma bora kwa wananchi.

Akiongelea kuhusu  Sekta ya Elimu  Waziri Jafo amemuagiza katibu Mkuu Ofisi ya Rais- TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga kuandaa taarifa itakayoonyesha  matumizi  ya fedha  zilitolewa  mnamo tarehe  26/6/2020  kwa ajili ya ujenzi wa Mabweni, Madarasa ili kujua maeneo yaliyokamilisha ujenzi huo na wale  ambao hawajakamilisha, na nini  mikakati ya kukamilisha.

Amewataka watendaji wote nchini kuhakikisha wanasimamia miradi ya maendeleo ikiwemo fedha zilizotolewa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya elimu  ili fedha zitakazotumika ziendane na majengo yanayonjengwa

Hata hivyo, amemuagiza Katibu Mkuu huyo kuhakikisha  wanapata taarifa  ya mikakati ya Mikoa kuhusu ujenzi wa madarasa ili kuhakikisha watoto wote waliofaulu mitihani ya kumaliza elimu ya msingi wanapata nafasi  ya kuendelea na masomo

Waziri Jafo amewataka viongozi wa Sekta ya Afya na TARURA kuhakikisha wanapanga mikakati madhuburi ya kuainisha vipaombele vya Serikali katika utoaji wa huduma kwa wananchi.

Amewataka TARURA kuhakikisha  wanasimamia kwa karibu  miradi inayotekelezwa na kuacha  kuwatumia  wakandarasi wanaojifanya  kujulikana  na  wanamiradi mingi ya kufanya na kuwataka kuhakikisha  miradi yote iliyopo  chini ya TAMISEMI  inakamilika kwa wakati uliopangwa

Naye Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya   Mhe Festo Dugange  amesema pamoja na ruzuku za Serikali tutaendelea kusimamia ukusanyaji wa mapato kwenye vituo vya kutolea huduma, ili  kuhakikisha fedha zinazokusanywa katika vituo vya kutolea huduma za afya zinapelekwa katika  kuboresha huduma za afya, upatikanaji wa dawa na vitendanishi matengenezo madogomadogo na hatimaye kuendelea kwa hatua kupunguza utegemezi  kwa bajeti ya Serikali

Wakati huohuo, Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Mhe. David Silinde amesema kuwa wamekuja kuongeza ufanisi wa utendajikazi, kuhakikisha kuwa huduma inawafikia wananchi moja kwa moja.

Aidha amewataka watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuacha kufanyakazi kwa mazoea bali watumie mazoea na uzoefu walionao ili kufikia malengo ya kutoa huduma bora kwa wananchi’



Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.