• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Waziri Jafo ataka Shilingi Bilioni 245 za Miradi ya Maendeleo zitumike kwa wakati

Imewekwa tar.: March 1st, 2021

Na Atley Kuni, Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Selemani Jafo amewaagiza wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi Halmashauri, kuhakikisha shilingi bilioni 245.3 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo zinatumika kwa wakati kwenye miradi iliyokusudiwa na kwamba hatarajii kuona fedha hizo zinarudishwa hazina ifikapo mwisho wa mwaka huu wa fedha.

Akizungumza na waandishi wa Habari, katika Makao Makuu ya Ofisi za TAMISEMI mjini Dodoma leo, Waziri Jafo amesema kuwa, ifikapo tarehe 30 Mei, 2021, kila halmashauri ihakikishe kuwa fedha zote zilizotolewa na serikali kwa ajili ya kukamilisha miradi ya maendeleo kama ujenzi wa madarasa, zahanati au majengo ya ofisi za serikali zinatumika ipasavyo kwa malengo yaliyokusudiwa na thamani ya fedha ionekane.

Amesema kamwe, hatarajii kuona halmashauri yoyote iliyopokea fedha toka hazina, inapofika mwezi wa sita, ikishindwa kutumia fedha yote iliyopokea kwa visingizio vya aina yoyote ndiyo maana anawajulisha viongozi wakuu wa mikoa na kufuatilia mapema ili fedha zote zitumike kwa wakati muafaka kukamilisha miradi ya maendeleo iliyokusudiwa.

“Kwa hiyo niwatake wakuu wa Mikoa, wasimamie fedha hizi katika halmashauri zao, ninafahamu yawezekana wakuu wa Mikoa wengine saa hizi hawana taarifa kwamba kuna fedha zimeingia katika maeneo yao ya utawala, hususan ni katika halmashauri, ndio maana ninataka wakuu wa mikoa wakasimamie, kwanza kujua ni kiasi gani zimefika kwa kila halmashauri na pili kuhakikisha fedha zilizo ingia katika robo ya pili nay a tatu ya mwaka zinatumika ipasavyo na thamani ya miradi ionekane ifikapo Juni 30,2021” amesema Mhe. Jafo.

Waziri Jafo amesema kufikia sasa kiasi cha sh. bilioni 245 sawa na asilimia 38.9 ya fedha zote zilizotengwa na serikali cha Shilingi bilioni 629.1 kwa ajili ya miradi ya maendeleo katika kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 kimekwishatolewa, hivyo ni jukumu la wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi halmashauri kuhakikisha kuwa fedha hizo zinatumika ipasavyo.

Amefafanua kuwa kiasi cha fedha kilichotolewa, kimeelekezwa katika miradi ya ujenzi wa majengo ya Utawala ya halmashauri, ujenzi wa wodi tatu katika  hospitali 67 zinazoendelea kujengwa, ununuzi wa vifaa tiba, ujenzi wa Hospitali 27, ukamilishaji wa zahanati tatu kwa kila halmashauri, miradi ya elimu ikiwemo na ukamilishaji wa majengo ya madarasa.

Amesema katika mwaka wa fedha ulioisha wa 2019/20 fedha nyingi zilirudi hazina huku miradi mingi ikiwa haijakamilika, kwa hiyo amesisitiza kuwa hataki suala hili lijirudie tena mwaka huu.

Waziri Jafo, amesema yeye pamoja na Naibu Mawaziri wawili katika Ofisi yake muda wote watakuwa macho kwa ajili ya kufanya ufuatiliaji wa kazi zinazo endelea.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI - TOA July 22, 2022
  • MAJINA YA WALIOPATA AJIRA KADA ZA AFYA NA UALIMU June 26, 2022
  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MJINI MAGHARIBI, PEMBA ZATWAA UBINGWA MPIRA WA MEZA

    August 17, 2022
  • ‘TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA’ BASHUNGWA

    August 17, 2022
  • Utekelezaji wa Miradi ya Elimu isimamiwe na kukamilika kwa wakati- Dkt. Msonde

    August 15, 2022
  • UBUNIFU KIVUTIO UMISSETA 2022

    August 15, 2022
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.