Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

WATANZANIA WATAKIWA KUJIUNGA NA CHF ILIYOBORESHWA

Imewekwa tar.: December 14th, 2020

Mkurugenzi wa Huduma za afya, lishe na ustawi wa jamii Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt Ntuli Kapologwe amewataka waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri nchini kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya kujiunga na mfuko wa bima ya afya ilioboreshwa.

Dkt. Kopologwe ametoa wito huo leo wakati akizungumza na vyombo vya habari ofisini kwake juu ya uhamasishaji wa jamii kujiunga na mfuko wa bima ya afya ilioboreshwa (CHF) ili kupunguza gharama zisizo za lazima wakati wa kupata huduma za afya kwa wananchi.

Kwa mujibu wa takwimu zilizopo Dkt. Kapologwe ameeleza kuwa asilimia 86 ya wananchi hawajajiunga na Bima ya afya nchini kutokana na kutopata elimu ya kutosha juu ya umuhimu wa kuwa na bima ya afya ya jamii.

“Umuhimu wa kujiunga na bima ya afya ya jamii ni kuepuka gharama za matibabu za hapo kwa hapo katika hospitali,vituo vya Afya na zahanati zetu zilizopo nchini.

Pia amesema kuwa faida ya CHF iliyoboreshwa ni kuwa imeongeza wigo mpana wa upatikanaji wa huduma kwani ukiwa na hiyo bima popote pale ulipo nchini unaweza kupatiwa huduma za afya tofauti na awali huduma ilikuwa katika eneo ulilojiandikisha.

Hivyo taratibu za kujiunga na bima hiyo mwananchi anakwenda kujiandikisha katika ofisi za mitaa, vijiji, vitongoji na mawakala walio katika maeneo yao ili kuweza kusaidia wananchi kujiunga bila vikwazo.

“Baada ya maboresho kuna mfumo ambao unawezesha kutambua mtu wapi alisajiliwa na wapi ametibiwa na kurahisisha urejeshaji wa fedha katika kituo cha kutolea huduma husika”, ameeleza Mkurugenzi huyo.

Vile vile amesema kuwa bima ya afya iliyoboreshwa imepanua wigo wa mafao kwa kuongeza baadhi ya huduma kupatikana katika bima hiyo kama upasuaji mkubwa na mdogo.

Hivyo takribani vituo 6,000 vinauwezo wa kuwahudumia wananchi wanaojiunga na CHF iliyoboreshwa ikiwemo Zahanati 4,922, Vituo vya Afya 716, Hospitali za Wilaya 179 na Hospitali za Mikoa 28.

Aidha Dr. Ntuli aliongeza kuwa kwa upande wa ada kulifanyika utafiti kuweza kujua ni kiasi gani mwananchi anaweza kumudu ili aweze kuchangia ambapo asilimia 98 walisema wana uwezo wa kuchangia shilingi 30,000 ambapo ndicho kiasi kinachotumiwa kwa kila kaya moja ya watu wapatao sita kwa mwaka mmoja.

“Ada hiyo ni kwa maeneo yote isipokuwa Mkoa wa Dar es Salaam ambao ada yao ni shilingi laki moja na nusu kwa kaya moja yenye idadi ya watu sita na shilingi elfu arobaini kwa mtu mmoja na hii ni kutokana na wigo wa vituo vya kutolea huduma katika Mkoa huo ambapo vituo binafsi vitashirikishwa katika utoaji wa huduma ”,amesisitiza .

Pia amesema kuwa mwananchi akiwa amechangia kiasi hicho kwa mwaka na Serikali inachangia kiasi ili kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa mwananchi.

Dkt.Kapologwe ameeleza kuwa tayari Serikali imechangia ruzuku ili kuhakikisha inaboresha huduma za mfuko wa bima ya afya ya jamii.

Mchango wa Serikali katika kuboresha huduma za afya imeboresha miundombinu kwa kujenga hospitali za wilaya mpya 102, vituo vya afya 487, zahanati 1198, ununuzi wa vifaa tiba kwa lengo la kuhakikisha huduma bora zinatolewa ili kutimiza matakwa ya wananchi.

MWISHO

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

    May 30, 2025
  • Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana watakiwa kuzingatia miongozo na kanuni zilizopo.

    May 29, 2025
  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.